Regent
JF-Expert Member
- Oct 9, 2020
- 2,306
- 3,550
Sasa Mkuu kuishi ki standard kilamtu anapata hiyo nafasi maana wote tungepata hiyo nafasi 1.5M tungefanyia Shopping Mlimani kwa siku tu ila 90% hawafikii standard ndio maana 1.5 itabaki kuwa nyingi..Ndio maana nikasema kama kuishi kwa kujibana basi hata laki moja kwa mwezi inatosha kuendesha familia ila ukitaka kuishi kistandard hata 1.5m hamna kitu ndio ilikuwa logic yangu.