Ukiwa single kazi sana kupata mpenzi mpya

Bidhaa inayopendwa sana na watu sokoni ndiyo inayozidi nunulika hatakama hiyo bidhaa sio nzuri kuliko zingine, people do this out of curiosity waone Kwann wengi wanaitaka.

Sasa wewe hata mpenzi mmoja huna unataka upate wengine, mwenye nacho anaongezewa and kinyume yake
 
Habarini wadau

Tokea nimekuwa single imekuwa kazi kweli kupata mpenzi mpya, kila napojaribu naona bila bila bila bila. Tumia nguvu ya pesa wapi ila nilivyo kuwa na mpenzi wengi walinishobokea nikatulia.

Ila hawa alaaniwe alimpotosha sana Adam na Delila alaniwe alimtesa sana Samson
Unatala mpenzi wa kudumu? Pole sana. Ww tumia tu pessa upate papuchi unavyoihitaji. Mpenzi wa kudumu siku izi hakuna
 
Habarini wadau

Tokea nimekuwa single imekuwa kazi kweli kupata mpenzi mpya, kila napojaribu naona bila bila bila bila. Tumia nguvu ya pesa wapi ila nilivyo kuwa na mpenzi wengi walinishobokea nikatulia.

Ila hawa alaaniwe alimpotosha sana Adam na Delila alaniwe alimtesa sana Samson
Nakubaliana na ww Kwa asilimia 💯 Ila tofauti mm ni ke
 
Kupata mtu au kitu ni rahisi kama utamaster njia Fulani. Pia ni ngumu sana kama hutamaster vitu Fulani.

Attitude na mindset ni maamuzi ya Kila kitu. Jitengenezee na ufuate na sio lazima ifanane na mtu mwingine. Hiyo ndio confidence.
 
Hahahahahahah kuku watamu kuliko papuchi ama?
20211125_171145.jpg



Umeona mkuu.Nashishia na grand malt nasubiri Europa league kivyangu getho
 
Mara nyingi sana kwenye mahusiano MTU huumizwa kipindi kibaya ,kipindi ambacho itauma zaidi.

Few years back nilipitia maumivu makali sana kwenye maisha ya mahusiano...ilikuwa haina tofauti na ukisimama nchale ,ukikaa nchale ,ukichuchumaa nchale, ukikimbia nchale..... Sasa katika hali hiyo huwezi kufanikisha kupata mapenzi mapya ya kukuridhisha
 
Nilidhani nipo peke yangu. Nimebembeleza sn but ngoma nzito.

Sijui kwanini ipo hivi.

Juzi hapa nikajitoa mhanga nikamsimamisha binti njiani,nikaomba namba.Tukaanza kuelewana na chatting sana.Lakini kila nikimwambia njo tuongee tuelewane hapa home hataki, anazingua njoo uchukue ya vocha kanakuja mpaka nje.Twende out kanakubali,but kukamilisha mipango hadi ya kupeana tamu aisee kanasumbua na kushangaa kabisaaa.

Sasa nimaemua kufuta namba zake za simu na wadada wengine.Nimeamua kuishi na kujichinjia kuku na kula basi.
Tuko wote ..

Mie Hadi kutolewa out wanakataa....

Sema Hawa wanawake wamenizungusha Sana. Nahisi nitakuja kuwa womanizer mzr tu mbeleni...
 
Habarini wadau

Tokea nimekuwa single imekuwa kazi kweli kupata mpenzi mpya, kila napojaribu naona bila bila bila bila. Tumia nguvu ya pesa wapi ila nilivyo kuwa na mpenzi wengi walinishobokea nikatulia.

Ila hawa alaaniwe alimpotosha sana Adam na Delila alaniwe alimtesa sana Samson
Tafuta dem mnyonge mnyonge umbake
 
Back
Top Bottom