Miti7
JF-Expert Member
- Mar 16, 2021
- 991
- 1,783
Wewe ndiyo unatakiwa utuambie wa maana ndiyo yupoje hasa?Kwani nikisema wa maanaa wewe unaelewaje?
Wewe ndiyo unatakiwa utuambie wa maana ndiyo yupoje hasa?Kwani nikisema wa maanaa wewe unaelewaje?
Unatala mpenzi wa kudumu? Pole sana. Ww tumia tu pessa upate papuchi unavyoihitaji. Mpenzi wa kudumu siku izi hakunaHabarini wadau
Tokea nimekuwa single imekuwa kazi kweli kupata mpenzi mpya, kila napojaribu naona bila bila bila bila. Tumia nguvu ya pesa wapi ila nilivyo kuwa na mpenzi wengi walinishobokea nikatulia.
Ila hawa alaaniwe alimpotosha sana Adam na Delila alaniwe alimtesa sana Samson
Wazee nendeni coco mkaogelee weekend hii
YahWakatoe gundu na maji ya bahari
Nakubaliana na ww Kwa asilimia 💯 Ila tofauti mm ni keHabarini wadau
Tokea nimekuwa single imekuwa kazi kweli kupata mpenzi mpya, kila napojaribu naona bila bila bila bila. Tumia nguvu ya pesa wapi ila nilivyo kuwa na mpenzi wengi walinishobokea nikatulia.
Ila hawa alaaniwe alimpotosha sana Adam na Delila alaniwe alimtesa sana Samson
na wew hujaelewa comment yangu.. By the way malaya hana alama usoni hata huyo unaemuita mpenzi anaweza kua malaya.Hujamuelewa mtoa mada haitaji Malaya anahitaj mpenzi
Itakuwa una Chombo cha usafiri na sio ndinga.Sio wewe mkuu..........mimi nina ndinga kbsa.,,, lakin bado sijapata demu
Hahahahahahah kuku watamu kuliko papuchi ama?
Hapo safi
Tuko wote ..Nilidhani nipo peke yangu. Nimebembeleza sn but ngoma nzito.
Sijui kwanini ipo hivi.
Juzi hapa nikajitoa mhanga nikamsimamisha binti njiani,nikaomba namba.Tukaanza kuelewana na chatting sana.Lakini kila nikimwambia njo tuongee tuelewane hapa home hataki, anazingua njoo uchukue ya vocha kanakuja mpaka nje.Twende out kanakubali,but kukamilisha mipango hadi ya kupeana tamu aisee kanasumbua na kushangaa kabisaaa.
Sasa nimaemua kufuta namba zake za simu na wadada wengine.Nimeamua kuishi na kujichinjia kuku na kula basi.
Achana na mimiMtu wa maana ana miguu mingapi? Hebu acha kudharau uumbaj wa Mungu wewe
Tuliobaki wa maana ndio sisi we piga teke bakuli la dhahabu😅Achana na mimi
Tafuta dem mnyonge mnyonge umbakeHabarini wadau
Tokea nimekuwa single imekuwa kazi kweli kupata mpenzi mpya, kila napojaribu naona bila bila bila bila. Tumia nguvu ya pesa wapi ila nilivyo kuwa na mpenzi wengi walinishobokea nikatulia.
Ila hawa alaaniwe alimpotosha sana Adam na Delila alaniwe alimtesa sana Samson