dronedrake
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 23,205
- 54,775
Daah, maisha mazuri nini, naona umeyapatia
Daah, maisha mazuri nini, naona umeyapatia
Kwahiyo umeamua kununua sabuni na kuiweka bafuni?Nilidhani nipo peke yangu. Nimebembeleza sn but ngoma nzito.
Sijui kwanini ipo hivi.
Juzi hapa nikajitoa mhanga nikamsimamisha binti njiani,nikaomba namba.Tukaanza kuelewana na chatting sana.Lakini kila nikimwambia njo tuongee tuelewane hapa home hataki, anazingua njoo uchukue ya vocha kanakuja mpaka nje.Twende out kanakubali,but kukamilisha mipango hadi ya kupeana tamu aisee kanasumbua na kushangaa kabisaaa.
Sasa nimaemua kufuta namba zake za simu na wadada wengine.Nimeamua kuishi na kujichinjia kuku na kula basi.
Umalaya unatofautianana wew hujaelewa comment yangu.. By the way malaya hana alama usoni hata huyo unaemuita mpenzi anaweza kua malaya.
Sawa sawaUmalaya unatofautiana
Huyo kwenye profile ni wewe?
Ila mpenzi wa kampani anapata tu😅Labda kupata mpenzi wa kupendana nae.
Hii rahisi tu mbona. Si unapitisha mmoja tu kwenye wale wanasubiriaga ulie wakufute machozi. Ila yule wa hisia kufanana weeeeeee.Ila mpenzi wa kampani anapata tu
Hatari kubwa yani 😎Hii rahisi tu mbona. Si unapitisha mmoja tu kwenye wale wanasubiriaga ulie wakufute machozi. Ila yule wa hisia kufanana weeeeeee.
Hahahaha wadada wa hivi bana....i got the same situation for 2years....Nilidhani nipo peke yangu. Nimebembeleza sn but ngoma nzito.
Sijui kwanini ipo hivi.
Juzi hapa nikajitoa mhanga nikamsimamisha binti njiani,nikaomba namba.Tukaanza kuelewana na chatting sana.Lakini kila nikimwambia njo tuongee tuelewane hapa home hataki, anazingua njoo uchukue ya vocha kanakuja mpaka nje.Twende out kanakubali,but kukamilisha mipango hadi ya kupeana tamu aisee kanasumbua na kushangaa kabisaaa.
Sasa nimaemua kufuta namba zake za simu na wadada wengine.Nimeamua kuishi na kujichinjia kuku na kula basi.
Kama upo DSM na una kwako ukai kwenu na vichenji vya kuzugia zugia vipo my friend uwezi kosa mpenzi. Labda una gundu na nuksi plus mikosi.. Au muonekano wako unawatisha dada zetu.
Kuwa na ndinga sio shida sana,je una mvuto??Sio wewe mkuu..........mimi nina ndinga kbsa.,,, lakin bado sijapata demu
Kwamba???Jiunge kwenye kundi la jogging lolote utakuja kunishukuru
Naomba uje PM,mimi ni single mwenzako,hutajilaumu.Daah tunapishana wapi sasa
Mbona wadada single tupo wengi tu
hahahhahaaJiunge kwenye kundi la jogging lolote utakuja kunishukuru
hatari sana, juzi kuna kidemu kimeninyima namba na ndinga anaiona.. nimeshangaa sanaSio wewe mkuu..........mimi nina ndinga kbsa.,,, lakin bado sijapata demu