MamaSamia2025
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 10,256
- 22,323
Niko hapa kijiji cha Kala pembeni mwa Ziwa Tanganyika mkoani Rukwa tunasoma huu uzi wako na Mzee Chinyama. Alivyosoma heading tu akasikitika sana. Kasema kama hutajali mtumie jina lako kamili pamoja na majina ya wazazi wako wote wawili ili akusaidie kutengua kauli yako.