Ukitaka kumuuliza mkeo ametoka wapi muda huu unaanzaje?

Ukitaka kumuuliza mkeo ametoka wapi muda huu unaanzaje?

Umechelewa mpaka muda huu? ulipatwa na nini mana si kawaida yako!
 
Akifika tabasam tu atatiririka ye mwenyewe! Hujaridhika mkiwa mezani anza na "usafiri wa leo ulikuwa wa tabu sana?"
 
badilisha kichwa cha habari andika Ukitaka kumuuliza mumeo ametoka wapi mda huu unaanzaje?


sasa ukitaka kumuuliza mumeo ametoka wapi akifika nyumbani muandalie maji ya kuoga, andaa chakula mle , akiwa anaangalia tv we mwache kwanza ,, muda mzuri wa kumuuliza ni pale anapoingia kitandani mlalie kifuani huku ukihezea dushe lake kwa mahaba and then muulize mume wangu mbona leo umechelewa ... hapo utapata majibu


We miss chagga ni muda wa kurudi tu unataka kujua unatoa service zote hizo au na hela ya saluni?
 
ha ha haha hapo ndiyo unalianzisha sasa ukiwa na evidence kamili ,.... si kumdaka juu kwa juu tena getini tu anaingia atakuficha mengine

dah nlikoswa koswa siku moja nimetoka kufanya yangu nkajifanya naumwa bado mama ngina akadai haki yake. abdala kichwa wazi akawa hasimami kwa bidii ikabidi nifanye mental work kuvuta picha za porno na wanawake wote wazuri nnaowajua
 
dah nlikoswa koswa siku moja nimetoka kufanya yangu nkajifanya naumwa bado mama ngina akadai haki yake. abdala kichwa wazi akawa hasimami kwa bidii ikabidi nifanye mental work kuvuta picha za porno na wanawake wote wazuri nnaowajua

ha ha ha hapo lazima ukojoe dawa ya jicho aiseee tena inatoka kwa maumivu makali mno inakuwa karaha... na ukute mwanamke mjanja anaenda chooni anakamua kuangalia ujazo wa maniii lazima upigwe vichwa
 
ha ha ha hapo lazima ukojoe dawa ya jicho aiseee tena inatoka kwa maumivu makali mno inakuwa karaha... na ukute mwanamke mjanja anaenda chooni anakamua kuangalia ujazo wa maniii lazima upigwe vichwa

ujanja huo bado hajaujua ndo nlipoponea
 
badilisha kichwa cha habari andika Ukitaka kumuuliza mumeo ametoka wapi mda huu unaanzaje?


sasa ukitaka kumuuliza mumeo ametoka wapi akifika nyumbani muandalie maji ya kuoga, andaa chakula mle , akiwa anaangalia tv we mwache kwanza ,, muda mzuri wa kumuuliza ni pale anapoingia kitandani mlalie kifuani huku ukihezea dushe lake kwa mahaba and then muulize mume wangu mbona leo umechelewa ... hapo utapata majibu
mhh asa umekuja kusema mpaka huku kweli siku ingine sitasema hata unishike wapi.....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom