Ukitaka kumuuliza mkeo ametoka wapi muda huu unaanzaje?

Ukitaka kumuuliza mkeo ametoka wapi muda huu unaanzaje?

we nishauri bana acha kuninanga bana we si unajua tena wakati mwingine tunakuwa tunawaza kidogo impact ili amani iwepo
tatizo la vijana kukimbilia ndoa bila kujipanga
 
We sio mzima! yaani ni sawa na kuuliza nikitaka kuingiza dud....u kwenye tun....du naanzaje!!
 
badilisha kichwa cha habari andika Ukitaka kumuuliza mumeo ametoka wapi mda huu unaanzaje?


sasa ukitaka kumuuliza mumeo ametoka wapi akifika nyumbani muandalie maji ya kuoga, andaa chakula mle , akiwa anaangalia tv we mwache kwanza ,, muda mzuri wa kumuuliza ni pale anapoingia kitandani mlalie kifuani huku ukihezea dushe lake kwa mahaba and then muulize mume wangu mbona leo umechelewa ... hapo utapata majibu
Halafu ukinifanyia hivo kesho yake nachelewa tena ukinishika dushe ukiniuliza ..nakwambia hivi...nlikua hapo barazani baby nasubiri kuchelewa ili nipate huduma ya uchelewaji kama jana.Au labda useme nikiwahi unafanyaje pia...maana inawezekana nikiwahi ntaenda kulala nikuache ukiangalia la mujar de mi vida.
 
Halafu ukinifanyia hivo kesho yake nachelewa tena ukinishika dushe ukiniuliza ..nakwambia hivi...nlikua hapo barazani baby nasubiri kuchelewa ili nipate huduma ya uchelewaji kama jana.Au labda useme nikiwahi unafanyaje pia...maana inawezekana nikiwahi ntaenda kulala nikuache ukiangalia la mujar de mi vida.
ha ha usitoe siri za ndani
 
badilisha kichwa cha habari andika Ukitaka kumuuliza mumeo ametoka wapi mda huu unaanzaje?


sasa ukitaka kumuuliza mumeo ametoka wapi akifika nyumbani muandalie maji ya kuoga, andaa chakula mle , akiwa anaangalia tv we mwache kwanza ,, muda mzuri wa kumuuliza ni pale anapoingia kitandani mlalie kifuani huku ukihezea dushe lake kwa mahaba and then muulize mume wangu mbona leo umechelewa ... hapo utapata majibu
Una matatizo wewe,loooh!!!
 
Mvutie kitu cha bob marley,man up,be on some bigboy pants then then ask that woman why is she late,macho makavu afu unamaintain eye contact,akilete majibu ya nyodo unamuwamba kofi moja ivi la kibabe afu unaenda zako kulala
 
sitaki sema wewe
Hatukuongea mpaka tulivyokua watupu wote baada ya dakika kama ishirini hivi za tendo la ndoa kisha nikakuuliza...hivi (I was dying to see you baby love..where have you been?) nikamalizia na busu afu ukanipa jibu.
 
Usimuulize lolote,subiri siku aletwe na gari mpaka mlangoni!
 
Hatukuongea mpaka tulivyokua watupu wote baada ya dakika kama ishirini hivi za tendo la ndoa kisha nikakuuliza...hivi (I was dying to see you baby love..where have you been?) nikamalizia na busu afu ukanipa jibu.
wewe ni mtamu
 
badilisha kichwa cha habari andika Ukitaka kumuuliza mumeo ametoka wapi mda huu unaanzaje?


sasa ukitaka kumuuliza mumeo ametoka wapi akifika nyumbani muandalie maji ya kuoga, andaa chakula mle , akiwa anaangalia tv we mwache kwanza ,, muda mzuri wa kumuuliza ni pale anapoingia kitandani mlalie kifuani huku ukihezea dushe lake kwa mahaba and then muulize mume wangu mbona leo umechelewa ... hapo utapata majibu

Mkuu, una PHD ya mambo haya?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom