unapanga akirudi huyu nitamuliza mbona umerudi usiku huu saa nne ama saa tatu ila akifika tu unaona noma kuuliza ,sasa nisaidieni niulizeje hili swali ili ikamue nyongo , maana unawza onekana una wivu wa kijinga ama mshamba ama mkoloni
badilisha kichwa cha habari andika Ukitaka kumuuliza mumeo ametoka wapi mda huu unaanzaje?
sasa ukitaka kumuuliza mumeo ametoka wapi akifika nyumbani muandalie maji ya kuoga, andaa chakula mle , akiwa anaangalia tv we mwache kwanza ,, muda mzuri wa kumuuliza ni pale anapoingia kitandani mlalie kifuani huku ukihezea dushe lake kwa mahaba and then muulize mume wangu mbona leo umechelewa ... hapo utapata majibu
wanaume wengine wanakeraHahaha kama nakuona vile na kishungi chako.
badilisha kichwa cha habari andika Ukitaka kumuuliza mumeo ametoka wapi mda huu unaanzaje?
sasa ukitaka kumuuliza mumeo ametoka wapi akifika nyumbani muandalie maji ya kuoga, andaa chakula mle , akiwa anaangalia tv we mwache kwanza ,, muda mzuri wa kumuuliza ni pale anapoingia kitandani mlalie kifuani huku ukihezea dushe lake kwa mahaba and then muulize mume wangu mbona leo umechelewa ... hapo utapata majibu
mmmh! wee kiboko.badilisha kichwa cha habari andika Ukitaka kumuuliza mumeo ametoka wapi mda huu unaanzaje?
sasa ukitaka kumuuliza mumeo ametoka wapi akifika nyumbani muandalie maji ya kuoga, andaa chakula mle , akiwa anaangalia tv we mwache kwanza ,, muda mzuri wa kumuuliza ni pale anapoingia kitandani mlalie kifuani huku ukihezea dushe lake kwa mahaba and then muulize mume wangu mbona leo umechelewa ... hapo utapata majibu
Achezee dushe?Fuata ushauri wa miss chagga
Achezee dushe?
Lakini ujuwe kuna tofauti kubwa kati ya Mwanaume na mvulana, wavulana kuomba ushauri kama huu ni ruksa siku hizi hakuna jando na unyago. Tuwavumilie siyo makosa yao wala hawakupenda ni madhala ya mfumo na utawandawazi, wazazi wa kiume hatukai karibu na watoto wetu wa kiume kuwafundisha basics habits za kiume, badala yake jukumu la kulea watoto tumewaachia mama zao. hizi ni lawama moja kwa moja tunapaswa kuzibeba wazazi.Kuna ushauri ambao kwa Mwanaume kuomba ni Aibu sana.
Ulitaka kuandika nini?Kweli it takes for a male being a man. Seriously?
where have you being sijui been untill this time?
Lakini ujuwe kuna tofauti kubwa kati ya Mwanaume na mvulana, wavulana kuomba ushauri kama huu ni ruksa siku hizi hakuna jando na unyago. Tuwavumilie siyo makosa yao wala hawakupenda ni madhala ya mfumo na utawandawazi, wazazi wa kiume hatukai karibu na watoto wetu wa kiume kuwafundisha basics habits za kiume, badala yake jukumu la kulea watoto tumewaachia mama zao. hizi ni lawama moja kwa moja tunapaswa kuzibeba wazazi.
Sidhani kijana anayeuliza vitu vyepesi kama hivi kama anapenda bali kuna vitu amekosa, katoto unakaanzisha boarding school tangu nursery sasa akishabalehe wewe utaanza kumfundisha nini? wakati mtoto wako mwenyewe hujawahi kumlea unaona sifa tu ukikaa bar kuwatambia wenzio mwanangu yuko boarding fulani millioni 5 kwa mwaka, ujinga mtupu.
[/COLOR][/B]
Wee miss chaga acha kufundisha wake za watu huu ujanja, ni hatareee. Yaani ukiona dushe halisimami vizuri ndo hapo kwenye red.