Ukitaka kumuuliza mkeo ametoka wapi muda huu unaanzaje?

Ukitaka kumuuliza mkeo ametoka wapi muda huu unaanzaje?

ujasili utautoa wap unalishwa unavishwa endeleatu kunyamaza maana hakuna namna
 
Kama ni mme kachelewa hakuna haja ya kumuuliza hapo hapo. Akiingia ndani mwambie "sweetheart karibu" chakula mpe mwandalie akaoge.

Na inabidi umsome je alipochelewa kaja amenuna au yuko normal?? Je alipofika alisema am sorry au ka mute? Akisema am sorry msamehe pale pale. Akimute unaweza kufanya kama mm.
Hakikisha amekula na kuoga.

Mm kwa bf wangu ndo nafanyaga hivi tukilala nikaona kimya wala hajasema am sory. Nanyamaza namwambia gnt my love. Coz akichelewaga anakuwa na serengeti zake kichwani. Tunalala saa 11 najua dushe halinaga adabu na ugonjwa wake ni massage kila asubuhi sasa hapo wakati nafanya massage ndo mda wa kumuuliza mbona atajibu tu.

Hawa viumbe ni wetu ni kutumia akili kuwa handle.
 
ha ha ha hapo lazima ukojoe dawa ya jicho aiseee tena inatoka kwa maumivu makali mno inakuwa karaha... na ukute mwanamke mjanja anaenda chooni anakamua kuangalia ujazo wa maniii lazima upigwe vichwa
Duh... Umetishaah! Nlikua cfaham io ya kukimbilia choon [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
badilisha kichwa cha habari andika Ukitaka kumuuliza mumeo ametoka wapi mda huu unaanzaje?


sasa ukitaka kumuuliza mumeo ametoka wapi akifika nyumbani muandalie maji ya kuoga, andaa chakula mle , akiwa anaangalia tv we mwache kwanza ,, muda mzuri wa kumuuliza ni pale anapoingia kitandani mlalie kifuani huku ukihezea dushe lake kwa mahaba and then muulize mume wangu mbona leo umechelewa ... hapo utapata majibu
Utakuwa kicheche
Theoretically actually it is okay
But when we comes to real situation? ????????
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom