Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 61,252
- 125,002
Sisemi nisije nikaporwa bure...si unajua wanaume wa aina yako mko wachache
du ww ni mkatili bro,
badilisha kichwa cha habari andika Ukitaka kumuuliza mumeo ametoka wapi mda huu unaanzaje?
sasa ukitaka kumuuliza mumeo ametoka wapi akifika nyumbani muandalie maji ya kuoga, andaa chakula mle , akiwa anaangalia tv we mwache kwanza ,, muda mzuri wa kumuuliza ni pale anapoingia kitandani mlalie kifuani huku ukihezea dushe lake kwa mahaba and then muulize mume wangu mbona leo umechelewa ... hapo utapata majibu
Ndio maana nakupenda sana mke wangu.Mwanaume asiyejiamini anaboa sio siri.....kama wewe ungekuwa mume wangu ningeomba talaka
Mwanaume asiyejiamini anaboa sio siri.....kama wewe ungekuwa mume wangu ningeomba talaka
Umenena mkuuLakini ujuwe kuna tofauti kubwa kati ya Mwanaume na mvulana, wavulana kuomba ushauri kama huu ni ruksa siku hizi hakuna jando na unyago. Tuwavumilie siyo makosa yao wala hawakupenda ni madhala ya mfumo na utawandawazi, wazazi wa kiume hatukai karibu na watoto wetu wa kiume kuwafundisha basics habits za kiume, badala yake jukumu la kulea watoto tumewaachia mama zao. hizi ni lawama moja kwa moja tunapaswa kuzibeba wazazi.
Sidhani kijana anayeuliza vitu vyepesi kama hivi kama anapenda bali kuna vitu amekosa, katoto unakaanzisha boarding school tangu nursery sasa akishabalehe wewe utaanza kumfundisha nini? wakati mtoto wako mwenyewe hujawahi kumlea unaona sifa tu ukikaa bar kuwatambia wenzio mwanangu yuko boarding fulani millioni 5 kwa mwaka, ujinga mtupu.
alafu wewe tabia yako kujifanya headmistress wa hizi mambo unaniuzi, sasa mautundu yote hayo nani alikufundisha??badilisha kichwa cha habari andika Ukitaka kumuuliza mumeo ametoka wapi mda huu unaanzaje?
sasa ukitaka kumuuliza mumeo ametoka wapi akifika nyumbani muandalie maji ya kuoga, andaa chakula mle , akiwa anaangalia tv we mwache kwanza ,, muda mzuri wa kumuuliza ni pale anapoingia kitandani mlalie kifuani huku ukihezea dushe lake kwa mahaba and then muulize mume wangu mbona leo umechelewa ... hapo utapata majibu
badilisha kichwa cha habari andika Ukitaka kumuuliza mumeo ametoka wapi mda huu unaanzaje?
sasa ukitaka kumuuliza mumeo ametoka wapi akifika nyumbani muandalie maji ya kuoga, andaa chakula mle , akiwa anaangalia tv we mwache kwanza ,, muda mzuri wa kumuuliza ni pale anapoingia kitandani mlalie kifuani huku ukihezea dushe lake kwa mahaba and then muulize mume wangu mbona leo umechelewa ... hapo utapata majibu
Njoo kwangu basi, upate asali ya moyo.
Hahaha.....Teh teh dada yako atanitoa nduki na mwiko wa ugali
akishaanza Kuitwa aunt unoko wake utakwishaSana tu hubby cc wifi mnoko Evelyn Salt
hapana mkuu unanioneaDah! Wewe ni muuaji aiseeeh!
Khatari kabisa hii.
wanatuonea tu mkuu .. mapenzi tunayajua sanaHalafu utakuja kusikia mijitu mingine ikisema wachaga hawajui mapenzi. Asante sana@miss chagga kwa uwakilishi mwanana.
kanifundisha mamaalafu wewe tabia yako kujifanya headmistress wa hizi mambo unaniuzi, sasa mautundu yote hayo nani alikufundisha??
atakuwa ni mumeweHuyo unaemuogopa hivo ni mkeo au ni goma linalokuweka mjini?