ke ngiwesa kindo kicha hahahahaha haha ngakukunda zaidi
ke ngiwesa kindo kicha hahahahaha haha ngakukunda zaidi
ha haha hapana mkuu
yanahitaji busara ndogo sana sema wengi hushindwaMkuu, haya mambo kumbe hayaitaji hasira.
ngikukundike ngiwesa kindo kicha hahahaha
amba loi..ke njoo isandakunyingikukundi
Kwa taarifa yako hawa ndo wa kwanza kuachikaga..... Wanaongea tu vitendo sifurDuu....we mwanamke ni kungwi la makungwi....
yani una vitu vidogo vidogo ila vyenye ukweli mtupu
mmeo atakufaidi sana.
Fanya iviivi... Mpokee kwa upendo muache amalize mishe zake mda uo... Mkiwa kitandani mshikeshike mkeo mkisskiss uku ukimuuliza kwa nin kachelewa na kama mwanaume tumia kasauti ka msisitizo lakin kimahaba ukieleza namna iyo hali inavokukera... Wkati uo mikono yko haitulii kwenye mwil wke. Nakuapia hatarudia tena kuchelewa. Sio mwanaume tu anaambiwa kimahaba even a woman.badilisha kichwa cha habari andika Ukitaka kumuuliza mumeo ametoka wapi mda huu unaanzaje?
sasa ukitaka kumuuliza mumeo ametoka wapi akifika nyumbani muandalie maji ya kuoga, andaa chakula mle , akiwa anaangalia tv we mwache kwanza ,, muda mzuri wa kumuuliza ni pale anapoingia kitandani mlalie kifuani huku ukihezea dushe lake kwa mahaba and then muulize mume wangu mbona leo umechelewa ... hapo utapata majibu
Haya ngichaamba loi..ke njoo isandakunyi
ngikutirima...Haya ngicha
Ugh!Haya ngicha
Ulivyolitaja jina la kifaa nimechoka kabisahapana mkuu
hahahaUlivyolitaja jina la kifaa nimechoka kabisa
Mh, hata na mwanao utaona noma hivyo hivyo. Kwa hiyo mda huo anaorudi anakukuta ukifanya nini?Unapanga akirudi huyu nitamuliza mbona umerudi usiku huu saa nne ama saa tatu ila akifika tu unaona noma kuuliza.
Sasa nisaidieni niulizeje hili swali ili ikamue nyongo , maana unaweza onekana una wivu wa kijinga ama mshamba ama mkoloni.
Mnatatizo la mawasiliano humo ndani?????
Maana wenza wanaowasiliana hata kama mke /mume karudi saa sita usiku unajua alikuwa wapi na wala hutopata presha za kumuuliza maswali