Ukitaka kumuuliza mkeo ametoka wapi muda huu unaanzaje?

Ukitaka kumuuliza mkeo ametoka wapi muda huu unaanzaje?

Msulibasi

JF-Expert Member
Joined
Dec 2, 2014
Posts
5,957
Reaction score
8,005
Unapanga akirudi huyu nitamuliza mbona umerudi usiku huu saa nne ama saa tatu ila akifika tu unaona noma kuuliza.

Sasa nisaidieni niulizeje hili swali ili ikamue nyongo , maana unaweza onekana una wivu wa kijinga ama mshamba ama mkoloni.
 
badilisha kichwa cha habari andika Ukitaka kumuuliza mumeo ametoka wapi mda huu unaanzaje?


sasa ukitaka kumuuliza mumeo ametoka wapi akifika nyumbani muandalie maji ya kuoga, andaa chakula mle , akiwa anaangalia tv we mwache kwanza ,, muda mzuri wa kumuuliza ni pale anapoingia kitandani mlalie kifuani huku ukihezea dushe lake kwa mahaba and then muulize mume wangu mbona leo umechelewa ... hapo utapata majibu
 
Duu....we mwanamke ni kungwi la makungwi....
yani una vitu vidogo vidogo ila vyenye ukweli mtupu
mmeo atakufaidi sana.

badilisha kichwa cha habari andika Ukitaka kumuuliza mumeo ametoka wapi mda huu unaanzaje?


sasa ukitaka kumuuliza mumeo ametoka wapi akifika nyumbani muandalie maji ya kuoga, andaa chakula mle , akiwa anaangalia tv we mwache kwanza ,, muda mzuri wa kumuuliza ni pale anapoingia kitandani mlalie kifuani huku ukihezea dushe lake kwa mahaba and then muulize mume wangu mbona leo umechelewa ... hapo utapata majibu
 
Kama mwanaume huna haja yakuwa na hiba na aibu mbele ya mkeo. Mulize macho makavu kwa sauti ya kiume lakini siyo ya kibabe.
 
Sasa kama hilo tu unaogopa kumuuliza siku akifanya makubwa zaidi itakuwaje?Kuuliza si kuwa utapoteza uaminifu.We uliza na usiulize kama vile humuamini muulize tu mbona umechelewa hapo utapata majibu.Kuuliza sio ujinga
 
badilisha kichwa cha habari andika Ukitaka kumuuliza mumeo ametoka wapi mda huu unaanzaje?


sasa ukitaka kumuuliza mumeo ametoka wapi akifika nyumbani muandalie maji ya kuoga, andaa chakula mle , akiwa anaangalia tv we mwache kwanza ,, muda mzuri wa kumuuliza ni pale anapoingia kitandani mlalie kifuani huku ukihezea dushe lake kwa mahaba and then muulize mume wangu mbona leo umechelewa ... hapo utapata majibu

Wee miss chaga acha kufundisha wake za watu huu ujanja, ni hatareee. Yaani ukiona dushe halisimami vizuri ndo hapo kwenye red.
 
badilisha kichwa cha habari andika Ukitaka kumuuliza mumeo ametoka wapi mda huu unaanzaje?


sasa ukitaka kumuuliza mumeo ametoka wapi akifika nyumbani muandalie maji ya kuoga, andaa chakula mle , akiwa anaangalia tv we mwache kwanza ,, muda mzuri wa kumuuliza ni pale anapoingia kitandani mlalie kifuani huku ukihezea dushe lake kwa mahaba and then muulize mume wangu mbona leo umechelewa ... hapo utapata majibu

Hapa tu ndipo ninapokupendea miss chagga, hapa upo katika ubora wako, kula like za kutosha
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom