Ukitaka kumuuliza mkeo ametoka wapi muda huu unaanzaje?

Ukitaka kumuuliza mkeo ametoka wapi muda huu unaanzaje?

unapanga akirudi huyu nitamuliza mbona umerudi usiku huu saa nne ama saa tatu ila akifika tu unaona noma kuuliza ,sasa nisaidieni niulizeje hili swali ili ikamue nyongo , maana unawza onekana una wivu wa kijinga ama mshamba ama mkoloni

Kenda kutafuta pesa, pengine huna kitu,anamahitaji kibao yake binafsi na family kwa ujumla
 
Simple tyu mbna

"We kijinga unatoka wap sa hv boya wew"

Hope umejfunza ha ha
 
Kwa wanandoa walio na mawasiliano mazuri huitaji hata kumuuliza bali atakapoona kwamba leo atachelewa hutoa taarifa.
 
Daaaah hii sasa shughuli pevu!! Yaani kweli mpaka muda huo hujui mwenzio yuko wapi? Hamjaoana nyie.
 
Huo ni upuuzi!
Saa nne bila taarifa?
Lazima mtu aeleze!
Tena taarifa yote sio mukhutasari.

Lakini,
Kwani huko kwenu hakuna simu?
Hata za majirani hamna?
Acha uanalog mwingi.

du ww ni mkatili bro,
 
Wanaume wa aina hii wanahitaji maombi ili wabadilike,
Wanatuaibisha, wanakera...

Nafikiri umepata jibu la swali lako sasa, nilisema wanaume siku hizi wanazidi kupungua wamebaki wachacheee na kuna hatihati wakaisha kabisaaa, unakumbuka uliniulizaje??
 
Nafikiri umepaya jibu la swali lako sasa, nilisema wanaume siku hizi wanazidi kupungua wamebaki wachacheee na kuna hatihati wakaisha kabisaaa, unakumbuka uliniulizaje??

Nmekumbuka...
Ila.nadhani wanajielewa ila wanajitoa akili tuu, sijui kwa sababu ya hizi fake id?
 
Kuna wanaume wapole dunia hii!! Naanzaje kurudi saa nne usiku kwa mfano?? Sijipatii picha hiyo movie itakavyokuwa
 
Mwanaume asiyejiamini anaboa sio siri.....kama wewe ungekuwa mume wangu ningeomba talaka
ndio maana mimi ndio mumeo, si unajua jinsi ninavyojiamini, ebu watangazie watu wajue

cc Khantwe
 
Last edited by a moderator:
aisee maoni yenu nayachambua bado ila inaonekana viwango vya wengi ni vya kawaida na nimegundua kuwa saa nne inaonekana ni muda pitiliza kwa mama kurudi nyumbani jambo ambalo si sahihi ni kuchelewa kidogo msipaniki ila mpo ki kale sana mnaozungumzia kupambana -bora yule aliesema atakaa kimya
 
Kama mwanamke amechelewa kurudi nyumbani, inawezekana ni mara yake ya kwanza ipo namna ya kumuuliza, sio mbele ya watoto, ni chumbani tena kwa sauti ya upole. Kama ni kawaida yake kuingia saa mbili,tatu hadi nne, inamaana unajua kazi yake na umemzoea huna haja ya kumuuliza
 
unapanga akirudi huyu nitamuliza mbona umerudi usiku huu saa nne ama saa tatu ila akifika tu unaona noma kuuliza ,sasa nisaidieni niulizeje hili swali ili ikamue nyongo , maana unawza onekana una wivu wa kijinga ama mshamba ama mkoloni

nna wasiwasi na uanaume wako(sio kwamba huna uume au hufanyi kazi no!ila uwezo wako kimaamuzi kama baba wa familia),yaani kweli mwanaume uliyekamilika uko seriuos unakuja JF kuomba ushauri kwa swali kama hilo? hebu acha kututia aibu wanaume!!
 
Hiki kizazi hakina wanaume, kina wqtu webye jinsia ya kiume.

Kwa hiyo dogo kila jambo au changamoto kwenye familia yako utakua unaomba ushauri hapa, yaani unategemea mitandao ya kijamii kuendesha familia.

Acha ujinga bwana mdogo, kua mwanaume. Sijui hiyo mkeo kakufanyia nini. Huna akili kabisa.
 
Kimyaaa... macho yazungumzeee atasemaa tu mwenyewee wee muangalieee mpk ushahid ukamilikee
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom