RRONDO
Platinum Member
- Jan 3, 2010
- 57,856
- 129,802
JF kila siku najifunza jipya...Hiyo njia kwangu mie imebuma kuna mmoja huyo kajipendekeza kila ukipiga mzinga anarusha sasa hiyo hiyo tuu tena inatokea bank kuja kwa mpesa, ukiongeza baada ya siku mbili unashangaa hizo, nimekata mawasiliano wapi napiga chenga za kufa mtu yaani ananitafuta kuliko wa Saanane, najua akinipata nafwaaa mie

hapo utaanza na zoezi la kupiga selfie ukiwa upo mlimani city umetoka kununua gucci ..ndege mjanja....
acheni uongo