Ukitaka kumtosa mwanaume mpige kizinga tu

Ukitaka kumtosa mwanaume mpige kizinga tu

Hiyo njia kwangu mie imebuma kuna mmoja huyo kajipendekeza kila ukipiga mzinga anarusha sasa hiyo hiyo tuu tena inatokea bank kuja kwa mpesa, ukiongeza baada ya siku mbili unashangaa hizo, nimekata mawasiliano wapi napiga chenga za kufa mtu yaani ananitafuta kuliko wa Saanane, najua akinipata nafwaaa mie
JF kila siku najifunza jipya...
 
90% ya,wanawake ndo
Mawazo yao yaliko
Fka mwisho hapo

Wakijaribu kuwaza zaid n
Kwenda kuweka miguu
Kaskazn na kusin

Dirishan na mwisho wa kitanda
 
Wanawake mnapenda hela kama (mfuko)hata mm napenda hela zangu,unafanya biashara au ina TV ndani?mpaka mazoea ya kuombana hela mm nishafanya yangu mbeleee,ukiambulia sana soda.
 
kakwambia nani kupewa hela ndo kutoa papuchi????

Hajui, mwambie huyo. Kuna watu wanahudumia na mwisho wa siku anaishia kuiona kwenye sketi tu. Mie km sikupendi ht unipe hela kiasi gani ila hutakaa uione.
 
mambo yale ya kusema ooh nna boyfriend sijui am taken yashapitwa na wakati.

siku hizi ukiona a man anakufatafata and humtaki we mpige kizinga tu uone,tena first day tu,mara moja anakoma.

ni wachache sana wataendelea kusumbua after "kizinga".


a2cf3a0a17439c5a98cab26f18089fbb.jpg
Wanawake mnapenda kuomba hela hadi mnatia Ainu. Mpaka wake za watu ni kupiga mizinga tu
 
Hakuna kitu kama hicho vizinga tumezoea maana ndo tabia zenu.
 
Ndio njia ya kumkatalia MTU first day mueleze shida yako unadaiwa milioni atakufata tena
 
Hajui, mwambie huyo. Kuna watu wanahudumia na mwisho wa siku anaishia kuiona kwenye sketi tu. Mie km sikupendi ht unipe hela kiasi gani ila hutakaa uione.

Labda kama sio hela hizi ninazo zjua, ila kama ni hela utatoa bila shuruti..unajua kuna vijihela na kuna mihela acha ww dada mliumbwa na tamaa nyinyi wapo waliosema hvyo hvyo ila yakawashinda...money is M'faka
 
Ndio njia ya kumkatalia MTU first day mueleze shida yako unadaiwa milioni atakufata tena

ukisema unashida na 1M nakuuliza kwani nikikupa 5M kwa after 2wks si ztamaliza shida..hapo utaanza na zoezi la kupiga selfie ukiwa upo mlimani city umetoka kununua gucci ..ndege mjanja....
 
Labda kama sio hela hizi ninazo zjua, ila kama ni hela utatoa bila shuruti..unajua kuna vijihela na kuna mihela acha ww dada mliumbwa na tamaa nyinyi wapo waliosema hvyo hvyo ila yakawashinda...money is M'faka

Uzuri huwa sichukui hela ya mtu km sijampenda, ukiona nimekubali kupokea ujue nimekupenda otherwise nimeridhika na mshahara wangu.
Na kuna wanaume malimbukeni, anaona kutanguliza hela ndio kupendwa, wadada wanaojitambua wala hawababaiki na hela za mtu.
 
Ni KWELI ila kizinga hakifanyi nikuache hivihivi papuchi inaliwa na Pesa hapati jiulize mbinu gani tunatumia
 
mambo yale ya kusema ooh nna boyfriend sijui am taken yashapitwa na wakati.

siku hizi ukiona a man anakufatafata and humtaki we mpige kizinga tu uone,tena first day tu,mara moja anakoma.

ni wachache sana wataendelea kusumbua after "kizinga".


a2cf3a0a17439c5a98cab26f18089fbb.jpg

Hìvi karne hii kuna mwanamke mwenye uthubutu wa kumtosa mwanaume??? Huyo mwanaume atakuwa si rizki...

Hakuna mtihani unaotukabili wanaume kwa sasa kama kuwakwepa wanawake....Hakuna!
 
Uzuri huwa sichukui hela ya mtu km sijampenda, ukiona nimekubali kupokea ujue nimekupenda otherwise nimeridhika na mshahara wangu.
Na kuna wanaume malimbukeni, anaona kutanguliza hela ndio kupendwa, wadada wanaojitambua wala hawababaiki na hela za mtu.

Hakuna mwanamke anaejitambua when it come to money mama..hata sisi wanawake tulionao wanamishahara mikubwa ila hela tunawapa tu..kupenda kunaongezewa na vtu vingi ikiwemo uwezo mwanamke gani anataka aishi na mwanume fukara..acheni uongo
 
Back
Top Bottom