Ukitaka kumtosa mwanaume mpige kizinga tu

Ukitaka kumtosa mwanaume mpige kizinga tu

kwani wanaume 'hawatumii' married women???
Unapokuwa umeolewa hauwezi tongozwa ukapiga piga vizinga, na hauentertain tongozo, you hv to keep yo distance. Maybe uzee unanisumbua.
 
Wanawake wa aina yako ujinga kamwe hautawaisha. Akili yako inakutuma bila kujua unakwenda wapi, na nyie ndo mnaokopwa mwisho wa siku mnaishia na michozi tu
 
Mnafikili sisi hatuna akili ukinipiga mzinga nakwambia njoo uchukue halafu kwanza unachezea then unapewa nusu au unaahidiwa kesho ndo nitolee hivyo....
 
baadae unajikuta umegonga 30+ umeambulia kupiga mizinga tu, maana naona umeamua kuwajaza wenzako nao wamejaa
 
...wengine mnachelewa, mnakopesha then vizinga. Hapo mwanaume anafurahi coz kapewa tunda kwa mkopo...kama hakupendi utaona vumbi tu.
 
Hiyo njia kwangu mie imebuma kuna mmoja huyo kajipendekeza kila ukipiga mzinga anarusha sasa hiyo hiyo tuu tena inatokea bank kuja kwa mpesa, ukiongeza baada ya siku mbili unashangaa hizo, nimekata mawasiliano wapi napiga chenga za kufa mtu yaani ananitafuta kuliko wa Saanane, najua akinipata nafwaaa mie
Omba Mungu huyo asikupate kwenye kumi na nane, waweza fanywa hadi "vibaya"!!!

Kama humtaki ni heri kumwambia kuwa hutaki mahusiano nae, kumtafunia pesa tena usawa huu waweza liwa mande!!
 
Back
Top Bottom