Ukitaka kumtosa mwanaume mpige kizinga tu

Ukitaka kumtosa mwanaume mpige kizinga tu

Ukiniomba pesa nakuona wewe ni adui yangu hivyo unapunguza ukaribu mimi na wewe ukiattempt mimi tayari sumu ya uadui imeishajaa katika nyongo hata kama ulikuwa na mpango wakibuti utafaa kwako kwangu nitaona kama umenipunguzia mzigo!
 
Wanawake wenyewe hawa ambao zaidi ya 50% hapa mjini wanasimama barabarani, si bora nisubiri usiku niwavizie chobingo zao hasa zile za wale wasiopenda kuonekana barabarani.

Speaking from experience, nishawahi kuhangaishwa hivo na changu, sababu kibao siku moja namkuta maisha club kule kwenye miti miti.
 
Ukiniomba pesa nakuona wewe ni adui yangu hivyo unapunguza ukaribu mimi na wewe ukiattempt mimi tayari sumu ya uadui imeishajaa katika nyongo hata kama ulikuwa na mpango wakibuti utafaa kwako kwangu nitaona kama umenipunguzia mzigo!
 
Hii imenikuta jana

Ngoja nitoe tu ila lazima na mim nikomae nile mzigo tena kavu kavu hardcore sex na Uani kabisa

Kumbe ndo akili zenu
 
Hiyo njia kwangu mie imebuma kuna mmoja huyo kajipendekeza kila ukipiga mzinga anarusha sasa hiyo hiyo tuu tena inatokea bank kuja kwa mpesa, ukiongeza baada ya siku mbili unashangaa hizo, nimekata mawasiliano wapi napiga chenga za kufa mtu yaani ananitafuta kuliko wa Saanane, najua akinipata nafwaaa mie
Ha ha ha! Usikute anatembea na vumbi la Congo kabisa mfukoni...
 
Hahahaaa, yaani ukipiga kizinga nakukubalia kuwa nakupa, nami straight foward naomba papuchi.

Ukijibu hunipi, ndo utakuwa umekosa pumzi ya kuendelea kukumbushia kizinga chako. Ukikubali pesa unakuja kuichukulia nyumbani kwangu.

So msidhani kama mmetukomoa katika kuwatongoza.

So njoeni na njia nyingine.

Hahaha unamwambia aje geto kuchukua?
 
Ukitaka pesaa ijiee getooo..maana na mimi nataka papuchi..!! Hutakii kila mtu abaki na chakee
 
Ha ha ha haaaaaaa

Kumbe ndio ya siku hizi hayo😱

Mmmmmh

Na kuwa independent woman ni muhimu shaaaaa
 
Yah ni kweli sababu mara nyingi uwaga tunawatamani na ukinipiga kizinga kwakua mpo wengi na ni tamaa tu iliyonileta kwako lzm nifute kbs na namba ya simu..labda kwa mabwege wachache wanatutia aibu wanaume kuhonga first day ya kukutana
 
71b8e60d58809d9b0112e1557408bac3.jpg
Umetisha,..Hahaha Salute.
 
Back
Top Bottom