pistmshai
JF-Expert Member
- Dec 12, 2016
- 1,313
- 3,685
usawa huu utakempiga mzinga bila kutoa papuchi ni mzazi wako tu!kakwambia nani kupewa hela ndo kutoa papuchi????
usawa huu utakempiga mzinga bila kutoa papuchi ni mzazi wako tu!kakwambia nani kupewa hela ndo kutoa papuchi????
usicheke mkuu, watu tunaishi kwa kufuata kanuni tulizojiwekea..
Hicho ndo kidume, kudadadeki!!Nikija na Pete ya uchumba nakula mzigo kiulaini bila kupigwa kizinga alaf nasepa kimya kimya
mtaalam katika ubora wako![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Ndio njia nzuri na rahisi. Unapiga kizinga kimoja kitakatifu asipokimbilia jf kufungua uzi basi harudi tena.
Enzi za Jakaya hizo...Ukitoa papuchi ujue una interest nae.
Ukipiga kizinga akatoa, humpi nafasi ya kupumua unapiga kingine kikubwa zaidi.
Lengo ni kumkimbiza mkuu, kwahiyo ukipiga akatoa unajua kumbe nilipiga kidogo, hapo hapo kodi ya nyumba inaisha ghafla unapiga cha kodi kikubwa aah lazima asepe.Enzi za Jakaya hizo...
Siku hizi Midume Suruali tupo kila Kona..
Lengo ni kumkimbiza mkuu, kwahiyo ukipiga akatoa unajua kumbe nilipiga kidogo, hapo hapo kodi ya nyumba inaisha ghafla unapiga cha kodi kikubwa aah lazima asepe.