The Icebreaker
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 18,158
- 51,087
Nipo lunch sasa hivi,nitakuja kuchangia thd baadae.
We Myebusi una ID ngapi? Hata hii ya Dagger v ni yakwako?Ndio kazi yangu iyo ya kuzunguka zunguka maofisini. Nalipwa kwa kufanya hivyo.
Wewe ni mmoja wapo wa hao wavivu kupindukia, ndo mmejazana humo ofisini mnachati tu.Huwezi lazimisha mtu kufanya kazi kwa matakwa yako binafsi au Kuwa bull ukategemea efficiency kwenye kazi isipokuwa unategeneza kundi la wanafiki na kujipendekeza katik sehemu husika .
Kazi zote zinataratibu na sheria zake katika kila NCHI husika ndio maana viongozi wote kazi yao kubwa ni kuwa-inspire na kuimpliment strategy kwa wale anaowaongoza ili kupata matokeo bora ya kazi zao. Unapo sema zamani watu walikuwa wanafanya kazi sio kweli walikuwa wanafanya kazi kikuda na ndio hatari zaidi ukiona wanamefika stage hiyo.
Basi sawa.Ndio kazi yangu iyo ya kuzunguka zunguka maofisini. Nalipwa kwa kufanya hivyo.
Mleta mada hajamaanisha kua watu wasiende lunch, amemaanisha muda wa lunch watu wanakua wanaufuatilia zaidi na kua nao serious kuliko muda wao wa kufanya kazi.We jamaa umesema muda wa lunch! ni kazi gani utafanya ukiwa na njaa!? hii sikuafiki kabisa.
Labda unamaana nyingine!
Mimi naona,mtu kama hujaridhika na malipo ya sehemu unayofanyia kazi, ni bora ukacheki issue zingine kuliko kupoteza muda wako au kuharibu kazi za watu coz mpaka unaanza hiyo kazi lazima utakua umesign contract au umekubaliana na muajiri wako,Wanampimia mwajiri kiwango cha kazi kuendana na mshahara anaolipa, ndo maana huwezi kutoa jero ukapewa dumu zima la mafuta bali utapimiwa kibaba..
HhhhhWatu wanatafuta mishahara walipe bills mzee
Kazi uipende ofisi ya babaako hiyo?