Hatuna kazi, tupo online muda wote ndiyo maana tunalalamika uchache wa MB

Hivi punde

JF-Expert Member
Apr 1, 2017
2,554
8,552
Watanzania hatuko busy, hatuna kazi za kufanya, kila sekunde mtu yupo online Tweeter, JF, WhatsApp, Instagram, Facebook, MB zinaachaje kukauka? Si asubuhi, si mchana, si usiku, unakuta mtu anapost/kuview status, anaingia mtandaono kucheck videos, kwanini MB zisiishe?

Wafanyakazi wengi wa umma huko maofisini hawafanyi kazi ndugu zangu, they are very slack, si wakubwa, si wadogo! Kwa mtu aliye busy na kazi zake muda mwingi, atapata wapi muda wa kuwa kwenye social media?

MB 500 kwa wiki zinatosha sana kwa mtu aliye busy na kazi zake.

Tufanye kazi, tuache kulalamika. Tupunguze mambo yasiyo ya msingi online.
 
Watanzania hatuko busy, hatuna kazi za kufanya, kila sekunde mtu yupo online Tweeter, JF, WhatsApp, Instagram, Facebook, MB zinaachaje kukauka? Si asubuhi, si mchana, si usiku, unakuta mtu anapost/kuview status, anaingia mtandaono kucheck videos, kwanini MB zisiishe?

Wafanyakazi wengi wa umma huko maofisini hawafanyi kazi ndugu zangu, they are very slack, si wakubwa, si wadogo! Kwa mtu aliye busy na kazi zake muda mwingi, atapata wapi muda wa kuwa kwenye social media?

MB 500 kwa wiki zinatosha sana kwa mtu aliye busy na kazi zake.

Tufanye kazi, tuache kulalamika. Tupunguze mambo yasiyo ya msingi online.
Sasa wewe mbona hiyo kazi hufanyi unakuja kubwabwaja huku mtandaoni? Nainaonesha hauko busy na kazi yako ndio maana upo huku unazurura tu, Anza wewe kupunguza mambo yasiyo ya msingi online

Kazi hufanyi wewe
Mshahara humlipi wewe
Hizo Mb humnunulii, bado umpangie jinsi ya kuperuzi na kudadisi vitu mtandaoni?

Na hiyo notion ya kusema kila sekunde/24 hours mtu yupo mtandaoni naikataa kwa sababu haiwezekani

Kwako inaweza isiwe jambo la msingi, ila kwa mwingine ni jambo la msingi.. Usipangie watu maisha!
 
Watanzania hatuko busy, hatuna kazi za kufanya, kila sekunde mtu yupo online Tweeter, JF, WhatsApp, Instagram, Facebook, MB zinaachaje kukauka? Si asubuhi, si mchana, si usiku, unakuta mtu anapost/kuview status, anaingia mtandaono kucheck videos, kwanini MB zisiishe?

Wafanyakazi wengi wa umma huko maofisini hawafanyi kazi ndugu zangu, they are very slack, si wakubwa, si wadogo! Kwa mtu aliye busy na kazi zake muda mwingi, atapata wapi muda wa kuwa kwenye social media?

MB 500 kwa wiki zinatosha sana kwa mtu aliye busy na kazi zake.

Tufanye kazi, tuache kulalamika. Tupunguze mambo yasiyo ya msingi online.
Kuna watu wengi siku hizi online ndiko wanakotengeneza pesa kwa kuuza vitu au kufanya kazi. Mimi daily lazima nchome walau 2gb kwakuwa ndiko nakopata pesa.
Dunia inahamia huko sasa lazima tuendane na kasi.
Ttcl wangekuwa wabunifu wangehakikisha huduma yao ya wifi inafika kila mahali maana wifi ndo uwa bei chee unalipia unlimited kwa mwezi
 
Watanzania hatuko busy, hatuna kazi za kufanya, kila sekunde mtu yupo online Tweeter, JF, WhatsApp, Instagram, Facebook, MB zinaachaje kukauka? Si asubuhi, si mchana, si usiku, unakuta mtu anapost/kuview status, anaingia mtandaono kucheck videos, kwanini MB zisiishe?

Wafanyakazi wengi wa umma huko maofisini hawafanyi kazi ndugu zangu, they are very slack, si wakubwa, si wadogo! Kwa mtu aliye busy na kazi zake muda mwingi, atapata wapi muda wa kuwa kwenye social media?

MB 500 kwa wiki zinatosha sana kwa mtu aliye busy na kazi zake.

Tufanye kazi, tuache kulalamika. Tupunguze mambo yasiyo ya msingi online.
Ulipokuwa huna Ajira na Pesa bado ulikuwa na haya Mawazo na huu Msimamo Ndugu? Nasubiri kwa hamu sana Jibu lako japo najua hakuna Watu Wanafiki duniani kama Watanzania.
 
Watanzania hatuko busy, hatuna kazi za kufanya, kila sekunde mtu yupo online Tweeter, JF, WhatsApp, Instagram, Facebook, MB zinaachaje kukauka? Si asubuhi, si mchana, si usiku, unakuta mtu anapost/kuview status, anaingia mtandaono kucheck videos, kwanini MB zisiishe?

Wafanyakazi wengi wa umma huko maofisini hawafanyi kazi ndugu zangu, they are very slack, si wakubwa, si wadogo! Kwa mtu aliye busy na kazi zake muda mwingi, atapata wapi muda wa kuwa kwenye social media?

MB 500 kwa wiki zinatosha sana kwa mtu aliye busy na kazi zake.

Tufanye kazi, tuache kulalamika. Tupunguze mambo yasiyo ya msingi online.
Kwa hio social media ni anasa ..kwamba unataka mtu aingie online asiangalie video? Hivi dunia hii ya tech bado unasema Social media ni anasa ? Una wazazi kweli wewe
 
Sina Kaz hap nimejiunga mb 500 nimezama jf tu pekee Wala sijazama kwingine na nimeridhika mm hata nikiwa na gb 12 sitapotea bure tu mnk muda mwingi napenda kuzama humu kujisomea nyuz mbali mbali ig na fb Wala sikumbuki nimetembe lini Sana Tweeter naweza pita japo kwa faster San mm nimeridhika na jamiiforum kwan taarifa zote muhimu nazipata humuhumu

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Watanzania hatuko busy, hatuna kazi za kufanya, kila sekunde mtu yupo online Tweeter, JF, WhatsApp, Instagram, Facebook, MB zinaachaje kukauka? Si asubuhi, si mchana, si usiku, unakuta mtu anapost/kuview status, anaingia mtandaono kucheck videos, kwanini MB zisiishe?

Wafanyakazi wengi wa umma huko maofisini hawafanyi kazi ndugu zangu, they are very slack, si wakubwa, si wadogo! Kwa mtu aliye busy na kazi zake muda mwingi, atapata wapi muda wa kuwa kwenye social media?

MB 500 kwa wiki zinatosha sana kwa mtu aliye busy na kazi zake.

Tufanye kazi, tuache kulalamika. Tupunguze mambo yasiyo ya msingi online.
Na sisi onliners je? Maaana huko ndio tunaingiza siku
 
Aliyeshiba hamjui mwenye njaaa hivi kuna mtu hapendi kufanya kazi kweli we kama umepata sehemu unalipwa posho kwa mwezi kausha sio kuleta jeuri yako hapa.
Well said. Ukiwa na job majoblesa unawaona kama mafala vile.
 
Back
Top Bottom