Ukitaka kuishi vizuri hapa Duniani fanya hivi hautajuta

DR HAYA LAND

JF-Expert Member
Dec 26, 2017
18,037
45,610
Kila dakika kila saaa kuwa mtu wa kushukuru , hapa utatumia ile kanuni ya the power of Gratitude kwamba unapozishukuru hela zako Basi MAZINGIRA yako ya Kupata hela yanaanza kuwa marahisi

Shukuru kuhusu Afya yako kila Muda kila saaa kila dakika kila sekunde.

Ruhusu MSAMAHA kwa kila Mtu hapa utawazuia wale maadui wapendao kukudhuru Mwili na roho na wataanza chukua silaha na kukulinda wewe they will turn from enemies into friends

Jifunze kujitamkia maneno mazuri na kuwatamkia watu maneno mazuri nadhani hapa Kuna Mada ilipostiwa hapa kuhusu the power of subconscious mind hapa unaweza pafanyia Kazi.

Hakikisha yale usiyoweza kuyanena kwa watu basi usiyanene hata sirini.

Mwisho hakikisha unakuwa na abundance mindest hapa hakikisha Akili yako inawaza Sana katika kutopungukiwa hii itakufanya kuamini MAFANIKIO na vitu Vizuri kila Mtu anaweza kuvipata na utaondoa scarcity mindest na kuondoa hofu ya kukosa hii itakufungulia njia ya mambo Mengi Sana.

Hakikisha unapokuwa katika kipindi Cha raha kuwa mtu wa kuomba utulivu Sana ili usije ukakufuru na kufanya dhiaka .

Fahamu tu Maisha ya kiroho ndo MAISHA mazuri Muda wote yatakayokupa Thamani hapa Duniani na hata baada ya kuondoka hapa Duniani.

Kumbuka kila kitu kinahitaji kukipa Nguvu Kuna vitu haviongei Ila sio kwamba havisikii ndo maana Mtu anayelishukuru shamba lake kila apandapo mazao na kuvuna huwa anapata mazao Makubwa kwa kutumia Nguvu ndogo , so hii ni moja ya Siri katika MAISHA hata Binadamu Mtu yule amabaye ukimpa kitu akaonesha hali ya kushukuru huwa inatia faraja ya kuona kuwa Siku ukipata zaidi utampa zaidi .

Shukuru Afya yako
Shukuru pesa zako hata Kama ni ndogo
Kuwa na abundance mindest

Vaa Mwanga ndani yako
Watamkie watu maneno mazuri na wewe jitamkie na maneno mazuri na jiwazie mema Muda wote .
 
Kila dakika kila saaa kuwa mtu wa kushukuru , hapa utatumia ile kanuni ya the power of Gratitude kwamba unapozishukuru hela zako Basi MAZINGIRA yako ya Kupata hela yanaanza kuwa marahisi

Shukuru kuhusu Afya yako kila Muda kila saaa kila dakika kila sekunde.


Ruhusu MSAMAHA kwa kila Mtu hapa utawazuia wale maadui wapendao kukudhuru Mwili na roho na wataanza chukua silaha na kukulinda wewe they will turn from enemies into friends


Jifunze kujitamkia maneno mazuri na kuwatamkia watu maneno mazuri nadhani hapa Kuna Mada ilipostiwa hapa kuhusu the power of subconscious mind hapa unaweza pafanyia Kazi .

Hakikisha yale usiyoweza kuyanena kwa watu basi usiyanene hata sirini


Mwisho hakikisha unakuwa na abundance mindest hapa hakikisha Akili yako inawaza Sana katika kutopungukiwa hii itakufanya kuamini MAFANIKIO na vitu Vizuri kila Mtu anaweza kuvipata na utaondoa scarcity mindest na kuondoa hofu ya kukosa hii itakufungulia njia ya mambo Mengi Sana .


Hakikisha unapokuwa katika kipindi Cha raha kuwa mtu kuomba utulivu Sana ili usije ukakufuru na kufanya dhiaka .



Fahamu tu Maisha ya kiroho ndo MAISHA mazuri Muda wote yatakayokupa Thamani hapa Duniani na hata baada ya kuondoka hapa Duniani.


Kumbuka kila kitu kinahitaji kukipa Nguvu Kuna vitu haviongei Ila sio kwamba havisikii ndo maana Mtu anayelishukuru shamba lake kila apandapo mazao na kuvuna huwa anapata mazao Makubwa kwa kutumia Nguvu ndogo , so hii ni moja ya Siri katika MAISHA

Shukuru Afya yako
Shukuru pesa zako hata Kama ni ndogo
Kuwa na abundance mindest

Vaa Mwanga ndani yako
Watamkie watu maneno mazuri na wewe jitamkie na maneno mazuri na jiwazie mema Muda wote .
Nimejufunza kitu muhimu hapa mkuu
 
Hii Ni moja ya course Mimi nilisoma chuo kikuu ila huyo Maslow alizungumzia kuhusu mahitaji ya Binadamu kwa kuonesha hatua kwa hatua ni katika psychology
ndo hizo hapo kuwa Binadamu anahitaji
👇

1. Physiological needs
2. Safety needs
3. Love and belongingness needs
4. Esteem needs
5. Self-actualization needs


Sasa hizo huwa zinaanzia namba 1 Hadi tano ukipata namba moja unaanza kuhitaji nambi mbili hivyo na kuendelea


Ndo hivyo Mkuu
Mkuu unaweza kueleza kwa machache tu kuhusu hiyo Maslow's hierarchy of needs
 
Mkuu unaweza kueleza kwa machache tu kuhusu hiyo Maslow's hierarchy of needs
Hiyo hierarchy inasema kwamba kwa kadri binadamu anavyotimiza/ timiziwa mahitaji ndipo anahitaji kitu kikubwa na kigumu zaidi

Mfano ukishakula ukashiba ndipo unakumbuka kwamba unahitaji mpenzi/ upendo

Ukipata utaona unahitaji ulinzi wa mwili/ Job security na Bima za afya
 
images.jpeg-2.jpg

Unaanza chini kwenda juu.. as unapata vitu ndivyo unazidi kuhitaji vitu
 
Ngoja waje wale wa Maslow's hierarchy of needs
Hahaaa umenikumbusha mbali sana kuhusu lower needs kama peace, food, shelter, physiology na higher needs which are self esteem and self actualization.

Mimi husema kuwa na mtu ambae ni maskini wa akili ni kupoteza muda. Kuwa na rafiki ambae bado anapambana atakula nini hawezi kukusaidia ata mawazo na huo ndio ukweli mchungu.

Tulipokuwa shule tulifundishwa kuhusu basic needs ni food, shelter and clothes sikujua maana yake vizuri leo hii natambua kuwa mwenye njaa hana mchango wowote kwa taifa.

Huwezi kuleta mapinduzi ama ugunduzi kwenye sayansi na teknolojia kama una njaa.
Kama mwanaume una mahusiano na mwanamke ambae ata kununua vocha mpaka umtumie huyo ni mzigo hakufikishi popote
 
yote upo sawa Ila mshukuru mungu kwa kukupa afya njema na hizo pesa kidogo alizokujaalia.. sio ushukuru pesa zako! pesa unazishukuruje? au mimi ndo sijaelewa?
 
Back
Top Bottom