Ukitaka kuishi kwa Mateso na Majuto Tanzania uwe hivi

Chizi Maarifa

JF-Expert Member
Jul 29, 2013
10,468
23,745
Utapata shida sana yaani uamue kuishi kwa kutumia akili? Utateseka na kila mtu atakushangaa sana na kukuoana kuwe wewe ni mtu wa ajabu sana maana haijazoeleka kabisa kwa watu kuishi kwa kutumia akili.

Hata sisi wenye akili nyingi humu JF tunachukiwa sana na members wengine.

Tunazodolewa kila sehemu na wanatuona kama ni watu wa ajabu si wa kawaida. Asilimia yetu sisi ni ndogo. Tupo wachache sana humu JF na DUniani hasa Tanzania. Ni wakati ambao nasi tunapaswa tutambuliwe na haki zetu za msingi za kutafakari, kufikiri na kutumia ubongo na akili zitambuliwe.

Msitunyanyapae na kutufanya tuishi kama vile sisi ni Aliens. Hatukupenda kuzaliwa na akili nyingi katikati yenu.

Hatukupenda kuwa na uelewa mkubwa wa mambo imetokea tu. na wakati mwingine tunatamani tungeishi nchi ambazo serikali zake zinawatambua wetu wenye uelewa mkubwa na kuwapa nafasi za kujenga nchi. Imekuwa kinyume kwa hapa nchini.

Kuna jamaa zangu wanasema kabisa kama ningekuwa nchi za watu wenye akili ningeweza kuwa hadi Rais wa nchi . lakini huku Tanzania ni kinyume. wenye akili ni wachache kuliko wasio nazo. Na hawa wasio ndo wanapiga kura kuchagua Rais na Wabunge....

Naona jinsi gani watu wananishangaa humu JF wanaona kama naandika mambo ambayo nilipaswa niwe nawaandikia watu wa nchi za kwanza duniani. Siyo hizi za tatu. lakini nitafanyaje ndugu zanguni. Naishi kwa mateso kila nikisoma wanachosema viongozi na watu mbalimbali naona kama vile nilikosea sana kuzaliwa nchi hii. Tuvumiliane tu sisi mbona tunawavumilia na ninyi mpo wengi sana?
 
utapata shida sana yaani uamue kuishi kwa kutumia akili???????????????? utateseka na ila mtu atakushangaa sana na kukuoana kuwe wewa ni mtu wa ajabu sana maana haijazoeleka kabisa kwa watu kuishi kwa kutumia akili.

hata sisi wenye akili nyingi humu JF tunachukiwa sana na members wengine. tunazodolewa kila sehemu na wanatuona kama ni watu wa ajabu si wa kawaida. asilimia yetu sisi ni ndogo. tupo wachache sana humu JF na DUniani hasa Tanzania. ni wakati ambao nasi tunapaswa tutambuliwe na haki zetu za msingi za kutafakari, kufikiri na kutumia ubongo na akili zitambuliwe.

msitunyanyapae na kutufanya tuishi kama vile sisi ni Aliens. hatukupenda kuzaliwa na akili nyingi katikati yenu. hatukupenda kuwa na uelewa mkubwa wa mambo imetokea tu. na wakati mwingine tunatamani tungeishi nchi ambazo serikali zake zinawatambua wetu wenye uelewa mkubwa na kuwapa nafasi za kujenga nchi. imekuwa kinyume kwa hapa nchini.

kuna jamaa zangu wanasema kabisa kama ningekuwa nchi za watu wenye akili ningeweza kuwa hadi Rais wa nchi . lakini huku Tanzania ni kinyume. wenye akili ni wachache kuliko wasio nazo. na hawa wasio ndo wanapiga kura kuchagua Rais na Wabunge....

naona jinsi gani watu wananishangaa humu JF wanaona kama naandika mambo ambayo nilipaswa niwe nawaandikia watu wa nchi za kwanza duniani. siyo hizi za tatu. lakini nitafanyaje ndugu zanguni. naishi kwa mateso kila nikisoma wanachosema viongozi na watu mbalimbali naona kama vile nilikosea sana kuzaliwa nchi hii. tuvumiliane tu sisi mbona tunawavumilia na ninyi mpo wengi sana?
Kwahiyo wewe una akili?????
Njoo tukupe dili
 
utapata shida sana yaani uamue kuishi kwa kutumia akili???????????????? utateseka na ila mtu atakushangaa sana na kukuoana kuwe wewa ni mtu wa ajabu sana maana haijazoeleka kabisa kwa watu kuishi kwa kutumia akili.

hata sisi wenye akili nyingi humu JF tunachukiwa sana na members wengine. tunazodolewa kila sehemu na wanatuona kama ni watu wa ajabu si wa kawaida. asilimia yetu sisi ni ndogo. tupo wachache sana humu JF na DUniani hasa Tanzania. ni wakati ambao nasi tunapaswa tutambuliwe na haki zetu za msingi za kutafakari, kufikiri na kutumia ubongo na akili zitambuliwe.

msitunyanyapae na kutufanya tuishi kama vile sisi ni Aliens. hatukupenda kuzaliwa na akili nyingi katikati yenu. hatukupenda kuwa na uelewa mkubwa wa mambo imetokea tu. na wakati mwingine tunatamani tungeishi nchi ambazo serikali zake zinawatambua wetu wenye uelewa mkubwa na kuwapa nafasi za kujenga nchi. imekuwa kinyume kwa hapa nchini.

kuna jamaa zangu wanasema kabisa kama ningekuwa nchi za watu wenye akili ningeweza kuwa hadi Rais wa nchi . lakini huku Tanzania ni kinyume. wenye akili ni wachache kuliko wasio nazo. na hawa wasio ndo wanapiga kura kuchagua Rais na Wabunge....

naona jinsi gani watu wananishangaa humu JF wanaona kama naandika mambo ambayo nilipaswa niwe nawaandikia watu wa nchi za kwanza duniani. siyo hizi za tatu. lakini nitafanyaje ndugu zanguni. naishi kwa mateso kila nikisoma wanachosema viongozi na watu mbalimbali naona kama vile nilikosea sana kuzaliwa nchi hii. tuvumiliane tu sisi mbona tunawavumilia na ninyi mpo wengi sana?
Kweli aisee......ukiwa na akili tu basi wanakuita wewe ni Mpinzani wengine wana ku label wewe ni Chadema.

Kuna mahali mpaka wamenifanyia vikao vya siri.

Nikawambia Mungu wangu mbona mimi ni Raia Mwema na sina kosa lolote la Kimaadili wala la jinai?
Basi wanatuona kama sisi sio Raia maana haturandani nao.
 
Kweli aisee......ukiwa na akili tu basi wanakuita wewe ni Mpinzani wengine wana ku label wewe ni Chadema.

Kuna mahali mpaka wamenifanyia vikao vya siri.

Nikawambia Mungu wangu mbona mimi ni Raia Mwema na sina kosa lolote la Kimaadili wala la jinai?
Basi wanatuona kama sisi sio Raia maana haturandani nao.
yeaaah... na wanakuona kama wewe si mtanzania. wanaona si kawaida watanzania kuwa na akili au kutumia akili
 
N
utapata shida sana yaani uamue kuishi kwa kutumia akili???????????????? utateseka na ila mtu atakushangaa sana na kukuoana kuwe wewa ni mtu wa ajabu sana maana haijazoeleka kabisa kwa watu kuishi kwa kutumia akili.

hata sisi wenye akili nyingi humu JF tunachukiwa sana na members wengine. tunazodolewa kila sehemu na wanatuona kama ni watu wa ajabu si wa kawaida. asilimia yetu sisi ni ndogo. tupo wachache sana humu JF na DUniani hasa Tanzania. ni wakati ambao nasi tunapaswa tutambuliwe na haki zetu za msingi za kutafakari, kufikiri na kutumia ubongo na akili zitambuliwe.

msitunyanyapae na kutufanya tuishi kama vile sisi ni Aliens. hatukupenda kuzaliwa na akili nyingi katikati yenu. hatukupenda kuwa na uelewa mkubwa wa mambo imetokea tu. na wakati mwingine tunatamani tungeishi nchi ambazo serikali zake zinawatambua wetu wenye uelewa mkubwa na kuwapa nafasi za kujenga nchi. imekuwa kinyume kwa hapa nchini.

kuna jamaa zangu wanasema kabisa kama ningekuwa nchi za watu wenye akili ningeweza kuwa hadi Rais wa nchi . lakini huku Tanzania ni kinyume. wenye akili ni wachache kuliko wasio nazo. na hawa wasio ndo wanapiga kura kuchagua Rais na Wabunge....

naona jinsi gani watu wananishangaa humu JF wanaona kama naandika mambo ambayo nilipaswa niwe nawaandikia watu wa nchi za kwanza duniani. siyo hizi za tatu. lakini nitafanyaje ndugu zanguni. naishi kwa mateso kila nikisoma wanachosema viongozi na watu mbalimbali naona kama vile nilikosea sana kuzaliwa nchi hii. tuvumiliane tu sisi mbona tunawavumilia na ninyi mpo wengi sana?
NI wazi una tatizo la afya akili, katibiwe wahi Mirembe
 
N

NI wazi una tatizo la afya akili, katibiwe wahi Mirembe
nilitegemea mtakuja kama kawaida yenu. siwezi kukulaumu.... chakula ulichokula(lishe duni),malezi na jinsi ambavyo ulizaliwa vinaathiri sana ukuaji wako kiakili. so hapa bado hujasema. mpaka useme.
 
utapata shida sana yaani uamue kuishi kwa kutumia akili???????????????? utateseka na ila mtu atakushangaa sana na kukuoana kuwe wewa ni mtu wa ajabu sana maana haijazoeleka kabisa kwa watu kuishi kwa kutumia akili.

hata sisi wenye akili nyingi humu JF tunachukiwa sana na members wengine. tunazodolewa kila sehemu na wanatuona kama ni watu wa ajabu si wa kawaida. asilimia yetu sisi ni ndogo. tupo wachache sana humu JF na DUniani hasa Tanzania. ni wakati ambao nasi tunapaswa tutambuliwe na haki zetu za msingi za kutafakari, kufikiri na kutumia ubongo na akili zitambuliwe.

msitunyanyapae na kutufanya tuishi kama vile sisi ni Aliens. hatukupenda kuzaliwa na akili nyingi katikati yenu. hatukupenda kuwa na uelewa mkubwa wa mambo imetokea tu. na wakati mwingine tunatamani tungeishi nchi ambazo serikali zake zinawatambua wetu wenye uelewa mkubwa na kuwapa nafasi za kujenga nchi. imekuwa kinyume kwa hapa nchini.

kuna jamaa zangu wanasema kabisa kama ningekuwa nchi za watu wenye akili ningeweza kuwa hadi Rais wa nchi . lakini huku Tanzania ni kinyume. wenye akili ni wachache kuliko wasio nazo. na hawa wasio ndo wanapiga kura kuchagua Rais na Wabunge....

naona jinsi gani watu wananishangaa humu JF wanaona kama naandika mambo ambayo nilipaswa niwe nawaandikia watu wa nchi za kwanza duniani. siyo hizi za tatu. lakini nitafanyaje ndugu zanguni. naishi kwa mateso kila nikisoma wanachosema viongozi na watu mbalimbali naona kama vile nilikosea sana kuzaliwa nchi hii. tuvumiliane tu sisi mbona tunawavumilia na ninyi mpo wengi sana?
Akili zipi mkuu, maana kwa sisi tuliomaliza darasa la saba tunakuona kama huna akili kwa sababu umeshindwa kutumia vizuri alama za uandishi kama vile nukta, mkato nk.

Umeshindwa kutofautisha matumizi ya herufi kubwa na ndogo, je kweli mambo makubwa utayaweza?.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umeandika kama utani ila huo ndio ukweli, bongo ikiishi kwa logic utapata tabu sana
 
Akili zipi mkuu, maana kwa sisi tuliomaliza darasa la saba tunakuona kama huna akili kwa sababu umeshindwa kutumia vizuri alama za uandishi kama vile nukta, mkato nk.

Umeshindwa kutofautisha matumizi ya herufi kubwa na ndogo, je kweli mambo makubwa utayaweza?.


Sent using Jamii Forums mobile app
ndo shida hiyo yaani unategemea kabisa uandishi wa JF wa kutumia simu mtu akae ku concentrate na mambo madogo kama hayo? wewe uliambiwa kuzingatia alama hizo kwa undani sana ndo akili? nimeweka vitu vya msingi kama hakuna nukta na alama nyingine sidhani hata ungeelewa. JF si sehemu ya kukaa mimi nianze kufikiria mambo yenu madogo hayo ninyi watu wadogo. watu wakubwa wenye akili hufikiria content. ninyi wenye uelewa mdogo hufikiria mambo hayo hayo madogo kama ulivyosema. so sishangai yaani umedhihirisha kile ambacho nilikisema before. kuwa wengi mna akili za ndogo ndo maana umekaa kwenye uzi huu umeangalia mambo madogo madogo.
 
ndo shida hiyo yaani unategemea kabisa uandishi wa JF wa kutumia simu mtu akae ku concentrate na mambo madogo kama hayo? wewe uliambiwa kuzingatia alama hizo kwa undani sana ndo akili? nimeweka vitu vya msingi kama hakuna nukta na alama nyingine sidhani hata ungeelewa. JF si sehemu ya kukaa mimi nianze kufikiria mambo yenu madogo hayo ninyi watu wadogo. watu wakubwa wenye akili hufikiria content. ninyi wenye uelewa mdogo hufikiria mambo hayo hayo madogo kama ulivyosema. so sishangai yaani umedhihirisha kile ambacho nilikisema before. kuwa wengi mna akili za ndogo ndo maana umekaa kwenye uzi huu umeangalia mambo madogo madogo.
Kama ndivyo unavyowasilisha mambo makubwa, basi naomba nikubali mimi nina akili ndogo siwezi kukuelewa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Utapata shida sana yaani uamue kuishi kwa kutumia akili? Utateseka na kila mtu atakushangaa sana na kukuoana kuwe wewe ni mtu wa ajabu sana maana haijazoeleka kabisa kwa watu kuishi kwa kutumia akili.

Hata sisi wenye akili nyingi humu JF tunachukiwa sana na members wengine.

Tunazodolewa kila sehemu na wanatuona kama ni watu wa ajabu si wa kawaida. Asilimia yetu sisi ni ndogo. Tupo wachache sana humu JF na DUniani hasa Tanzania. Ni wakati ambao nasi tunapaswa tutambuliwe na haki zetu za msingi za kutafakari, kufikiri na kutumia ubongo na akili zitambuliwe.

Msitunyanyapae na kutufanya tuishi kama vile sisi ni Aliens. Hatukupenda kuzaliwa na akili nyingi katikati yenu.

Hatukupenda kuwa na uelewa mkubwa wa mambo imetokea tu. na wakati mwingine tunatamani tungeishi nchi ambazo serikali zake zinawatambua wetu wenye uelewa mkubwa na kuwapa nafasi za kujenga nchi. Imekuwa kinyume kwa hapa nchini.

Kuna jamaa zangu wanasema kabisa kama ningekuwa nchi za watu wenye akili ningeweza kuwa hadi Rais wa nchi . lakini huku Tanzania ni kinyume. wenye akili ni wachache kuliko wasio nazo. Na hawa wasio ndo wanapiga kura kuchagua Rais na Wabunge....

Naona jinsi gani watu wananishangaa humu JF wanaona kama naandika mambo ambayo nilipaswa niwe nawaandikia watu wa nchi za kwanza duniani. Siyo hizi za tatu. lakini nitafanyaje ndugu zanguni. Naishi kwa mateso kila nikisoma wanachosema viongozi na watu mbalimbali naona kama vile nilikosea sana kuzaliwa nchi hii. Tuvumiliane tu sisi mbona tunawavumilia na ninyi mpo wengi sana?
😂
 
Back
Top Bottom