Ukitaka kuishi kwa amani katika ndoa, oa bikra

Ukitaka kuishi kwa amani katika ndoa, oa bikra

Heisenberg blue meth,
isee kimsingi unapooa mke asiye na bikra haina tofauti sana na yule mtu aliyejenga nyumba kwenye hifadhi ya barabara muda wowote unaweza kubomolewa. mimi nimeoa mke wangu akiwa na bikra isee nilitoka naye sekondari tukamaliza chuo mpaka nikamuoa jamani sio siri nafaidi.

Sasa wale vipochi manyoya niliowatoaga bikra enzi za ujana wakaolewa huko swekeni wanavyonisumbua mpaka kesho ooooh siwezi kukusahau ooooh blaaaah blaaaaah nawaambia pambaneni na hali zenu.Kifupi ukioa mwanamke asiye na bikra ujue umechukua mzigo wa mtu kwahiyo ipo siku mwenye mzigo wake atarudi tu
Je, kama kishakufa!?
 
Bikra sio dili tu yaani ni zaidi ya dili. Ile ndio ishara ya uzuri ya uzuri wa mwanamke na thamani yake kabla ya mengine.

Usitajarije kuona ya kuwa ipo siku Bikra itakosa thamani, sababu ina maana kubwa sana ndio maana ikawa katika maumbile yenu.

Bikra ina thamani sio tu hapa duniani mpaka huko. Bikra haijawahi kushuka thamani, zaidi ya watu kujifariji na kutaka kubadilisha ukweli.

Nani asie penda kuwa muanzilishi au wa mwanzo nani asie penda kitu kipya na kizuri ?

Ifikie hatua, ukweli usemwe na usambaze hata wale waujue na wamakinike nao.


Ni kweli ndoa ni zaidi ya bikra ila huanza bikra kisha hufata kutoka kwake.
Ingekua na thamani kiasi hicho basi wote tungeolewa bado bikra na kila mwanaume angeoa mwanamke aliemtoa bikra...ila sote tunajua uhalisia people move on
Na wengi actually ,asilimia 90 ya ndoa za kileo ni watu 'used' mwanamke na mwanaume na itaendelea kuwa hivo..kwani ndoa nyingi ni watu miaka 20+ ...ss kukuta bikra kwa mtu wa miaka 20+ ni shughuli .,zipo ila chache...
Na Nani atakubali bintiye aolewe na miaka 15!! kisa bikra?..watu wako busy na elimu na pesa kwanza
Huwezi kuwa busy na uzinzi afu bado utafte Mungu akupe bikra..ni used kwa kwenda mbele
 
Msichana niliyemtoa bikra 2016 amerudisha majeshi kwa kasi baada ya kupotezana na namfeel sana tofauti na hawa wengine ambao nimekuta punani zime tear&wear..

So kwenye uzi wako kwa kiasi fulani upo sawa
Mtaachana tu na hivi kashaonja nje hahaha utaisoma namba
 
Kuna ostazi mmoja hapa mtaani miezi kadhaa ameowa mwanafunzi wake ...kumbe alikuwa bikra bana. Kosa akaja kusimulia wengine kwamba..."shewangu nimebahatika kupata brand new (bikra).
Sijui nini kimetokea ila binti saivi anagawa nje na ostaz anajua ila kashindwa kumzuia wala kumuacha.
Vijana wanajipigia tu mpaka sasa aibu.

Nahisi mke akiwa na bikra bado atahitaji muongozo zaidi ili kutulia. (My thoughts)!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
LadyRed,
Ina thamani ndio maana imekuwa sehemu ya umbile la mwanamke.

Suala la uzinzi ni jambo kando na umuhimu wa Bikra ni jambo kando.
 
Maisha ya ndoa hayana formula hilo ndio tatzo kubwa unaweza kuoa bikra na bado akawa kichwa maji hiyi ndoa itaishia pabaya Pia unaweza kuoa asie bikra akawa nae kichwa maji hapo utajuta Lakini upande wa pili unaweza kuoa yeyote kati ya hao na hao na uka furahia Sana ndoa yako kwa hiyo hapo hakuna formula ni kuomba mungu tu akupe kile kilicho bora kutoka kwenye vilivyo vibovu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtaachana tu na hivi kashaonja nje hahaha utaisoma namba
Mazingira aliyokuwa anaweza kuwa bado hajapitiwa na mtu mwingine..alienda A-Level 2017 na sasa hivi yupo first year..kuna possibility za yeye kutokuguswa,japo i'm not 100pc sure
 
Back
Top Bottom