Ukitaka kuishi kwa amani katika ndoa, oa bikra

Ukitaka kuishi kwa amani katika ndoa, oa bikra

Ukisema bikra fafanua mkuu bikra ya mbele au nyuma, kuna watoto kibao wana tunza mbele nyuma rinda lishafumuka.
 
Si kila msichana hutolewa bikra kwa kulala na mwanaume,wengine zilitoka kwa kufanya mazoezi,kubeba vitu vizito,kuendesha baiskel n.k.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Heisenberg blue meth,
isee kimsingi unapooa mke asiye na bikra haina tofauti sana na yule mtu aliyejenga nyumba kwenye hifadhi ya barabara muda wowote unaweza kubomolewa. mimi nimeoa mke wangu akiwa na bikra isee nilitoka naye sekondari tukamaliza chuo mpaka nikamuoa jamani sio siri nafaidi.

Sasa wale vipochi manyoya niliowatoaga bikra enzi za ujana wakaolewa huko swekeni wanavyonisumbua mpaka kesho ooooh siwezi kukusahau ooooh blaaaah blaaaaah nawaambia pambaneni na hali zenu.Kifupi ukioa mwanamke asiye na bikra ujue umechukua mzigo wa mtu kwahiyo ipo siku mwenye mzigo wake atarudi tu
 
isee kimsingi unapooa mke asiye na bikra haina tofauti sana na yule mtu aliyejenga nyumba kwenye hifadhi ya barabara muda wowote unaweza kubomolewa. mimi nimeoa mke wangu akiwa na bikra isee nilitoka naye sekondari tukamaliza chuo mpaka nikamuoa jamani sio siri nafaidi, sasa wale vipochi manyoya niliowatoaga bikra enzi za ujana wakaolewa huko swekeni wanavyonisumbua mpaka kesho ooooh siwezi kukusahau ooooh blaaaah blaaaaah nawaambia pambaneni na hali zenu.Kifupi ukioa mwanamke asiye na bikra ujue umechukua mzigo wa mtu kwahiyo ipo siku mwenye mzigo wake atarudi tu
Kwahiyo mpaka chuo alikua bado bikra?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
isee kimsingi unapooa mke asiye na bikra haina tofauti sana na yule mtu aliyejenga nyumba kwenye hifadhi ya barabara muda wowote unaweza kubomolewa. mimi nimeoa mke wangu akiwa na bikra isee nilitoka naye sekondari tukamaliza chuo mpaka nikamuoa jamani sio siri nafaidi, sasa wale vipochi manyoya niliowatoaga bikra enzi za ujana wakaolewa huko swekeni wanavyonisumbua mpaka kesho ooooh siwezi kukusahau ooooh blaaaah blaaaaah nawaambia pambaneni na hali zenu.Kifupi ukioa mwanamke asiye na bikra ujue umechukua mzigo wa mtu kwahiyo ipo siku mwenye mzigo wake atarudi tu
Kuna mmoja alikuwa anajiamini kama ww ila sa hizi ni baba wa malaya, yaani anawala mpaka wanamwita baba na ndoa hana.
 
Aisee unatukosesha raha na wake zetu valentine yote hii
 
Back
Top Bottom