Ukitaka kuishi kwa amani katika ndoa, oa bikra

Ukitaka kuishi kwa amani katika ndoa, oa bikra

Mnapotaka kuoa mwanamke bikra vipi kwa upande wa mwanaume ambaye si bikra? Apite ajaribu kila kona akichoka amchukue bikra mmoja akae naye awe anamfananisha na mademu zake waliopita. Lakini kwa kuwa mwanamke ni limbukeni wa hiyo mambo, basi mwanaume anaenjoy!

Hilo swala la mwanamke kumkumbuka mwanaume aliyemtoa bikra, kichekesho ni kwamba, wanaume ndio wanaokazana sana kutoa matamko hayo. Wadada wenyewe tumepiga kimya hahaha.

Kutolewa bikra sidhani kama ni jambo kubwa ambalo mtu unaliweka kichwani to the extent. Sisi wadada uwa hatuwezi kumsahau mtu ambaye ameonyesha mapenzi ya dhati, kutuheshimu na kututhamini kama mwanamke.

Hayo ya kutoana bikra unakuta mkaka mwenyewe haoni thamani ya mwanamke au mwingine anauliza 'Sa mbona damu?' Hahahaa mtu arudi kufanya nini?

Ndoa ni zaidi ya bikra. Ndoa ni zaidi ya pesa na vitu vingi. Imagine mtu mnayejuana ukubwani muishi maisha yote mpaka kifo chenu, suluhisho ni bikra?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kumpata mwanamke ukubwanj ambae ametulia ni ngumu sana, tofauti na ukimpata mdogo mdogo alie bikra
Mnapotaka kuoa mwanamke bikra vipi kwa upande wa mwanaume ambaye si bikra? Apite ajaribu kila kona akichoka amchukue bikra mmoja akae naye awe anamfananisha na mademu zake waliopita. Lakini kwa kuwa mwanamke ni limbukeni wa hiyo mambo, basi mwanaume anaenjoy!
Hilo swala la mwanamke kumkumbuka mwanaume aliyemtoa bikra, kichekesho ni kwamba, wanaume ndio wanaokazana sana kutoa matamko hayo. Wadada wenyewe tumepiga kimya hahaha.
Kutolewa bikra sidhani kama ni jambo kubwa ambalo mtu unaliweka kichwani to the extent. Sisi wadada uwa hatuwezi kumsahau mtu ambaye ameonyesha mapenzi ya dhati, kutuheshimu na kututhamini kama mwanamke. Hayo ya kutoana bikra unakuta mkaka mwenyewe haoni thamani ya mwanamke au mwingine anauliza 'Sa mbona damu?' Hahahaa mtu arudi kufanya nini?
Ndoa ni zaidi ya bikra. Ndoa ni zaidi ya pesa na vitu vingi. Imagine mtu mnayejuana ukubwani muishi maisha yote mpaka kifo chenu, suluhisho ni bikra?

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mnapotaka kuoa mwanamke bikra vipi kwa upande wa mwanaume ambaye si bikra? Apite ajaribu kila kona akichoka amchukue bikra mmoja akae naye awe anamfananisha na mademu zake waliopita. Lakini kwa kuwa mwanamke ni limbukeni wa hiyo mambo, basi mwanaume anaenjoy!
Hilo swala la mwanamke kumkumbuka mwanaume aliyemtoa bikra, kichekesho ni kwamba, wanaume ndio wanaokazana sana kutoa matamko hayo. Wadada wenyewe tumepiga kimya hahaha.
Kutolewa bikra sidhani kama ni jambo kubwa ambalo mtu unaliweka kichwani to the extent. Sisi wadada uwa hatuwezi kumsahau mtu ambaye ameonyesha mapenzi ya dhati, kutuheshimu na kututhamini kama mwanamke. Hayo ya kutoana bikra unakuta mkaka mwenyewe haoni thamani ya mwanamke au mwingine anauliza 'Sa mbona damu?' Hahahaa mtu arudi kufanya nini?
Ndoa ni zaidi ya bikra. Ndoa ni zaidi ya pesa na vitu vingi. Imagine mtu mnayejuana ukubwani muishi maisha yote mpaka kifo chenu, suluhisho ni bikra?

Sent using Jamii Forums mobile app
Wanaforce mawazo yao yawe facts. Bf aliekata utepe hata simuwazagi. Ila yule Ex alienipenda vzr na kunijali. Huyo ndo siwezi kumsahau.

Wanawake wanajali mapenzi ya kweli how you make her feel, wanaume wao wanawaza bikra tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bikra ingekua dili kiasi hicho basi mabinti wadogo wote/mabikra wote wangekua na ndoa...

Bikra haitopata thamani kama zamani kwani inatafutwa upande mmoja tu.,

ndoa ni zaidi ya bikra.,
Na mtaendelea kuoa 'used' kama ambavyo na nyie ni 'used'....tafuta tu ahueni au anaejificha ficha...
**panic/toa povu at ur own risk**
 
Back
Top Bottom