Ukitaka kuishi kwa amani katika ndoa, oa bikra

Ukitaka kuishi kwa amani katika ndoa, oa bikra

Huo ndio ulikuwa mpango wa Muumba, kiufupi ukitaka amani hapa duniani amini tu haupo peke yako kwa mke wako, hata yeye akijitunza wewe amini hivyo ktk akili yako, ili hata ukigundua makandokando yake hautaona jipya.. Jambo kuu la kuzingatia watoto unaolea kwa jasho lako wawe damu yako.
 
Lakini ukimfungua mwenyewe njia inaongeza kitu, sio sawa na wale
Huo ndio ulikuwa mpango wa Muumba, kiufupi ukitaka amani hapa duniani amini tu haupo peke yako kwa mke wako, hata yeye akijitunza wewe amini hivyo ktk akili yako, ili hata ukigundua makandokando yake hautaona jipya.. Jambo kuu la kuzingatia watoto unaolea kwa jasho lako wawe damu yako.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom