MIXOLOGIST
JF-Expert Member
- Mar 1, 2016
- 12,695
- 31,485
Wana zengwe
Kuna wakati najiuliza maswali sipati majibu sahihi, mfano ukikaa sehemu ya juu(ghorofani) au ukiwa na video camera say yenye njia 16 alafu ukawa unawaangalia watu, yaani matendo yao, movements zao na harakati zao sehemu kubwa unaweza ukaona mambo mengi yanayofanyika ni ya kichizi sana.
Sehemu kubwa ya raia ni vichaa, askikuambie mtu, mbaya zaidi uwawekee raia kioo, au vioo, alafu uangalie mambo wanayoyafanya wakidhani wako wenyewe, yaani ni uchizi mwingi sana. Kama unabisha embu jaribu kumuacha mtu unayedhani unamuheshimu, muache mwenyewe alafu mu-observe matendo yake kwenye camera, nakwambia utashangaa. Uchizi ni mwingi sana
Kuna wakati najiuliza maswali sipati majibu sahihi, mfano ukikaa sehemu ya juu(ghorofani) au ukiwa na video camera say yenye njia 16 alafu ukawa unawaangalia watu, yaani matendo yao, movements zao na harakati zao sehemu kubwa unaweza ukaona mambo mengi yanayofanyika ni ya kichizi sana.
Sehemu kubwa ya raia ni vichaa, askikuambie mtu, mbaya zaidi uwawekee raia kioo, au vioo, alafu uangalie mambo wanayoyafanya wakidhani wako wenyewe, yaani ni uchizi mwingi sana. Kama unabisha embu jaribu kumuacha mtu unayedhani unamuheshimu, muache mwenyewe alafu mu-observe matendo yake kwenye camera, nakwambia utashangaa. Uchizi ni mwingi sana