Tuttyfruity
JF-Expert Member
- Dec 3, 2017
- 2,414
- 6,394
Chuo cha kata ya punjabLovely Punjab[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Sent using Jamii Forums mobile app
Chuo cha kata ya punjabLovely Punjab[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Nimekumbuka zile speed za kwenda Kusoma Malaysia..... Sjui zmeishia wapi?
Kama mtoto wako alikuwa wa kike basi lzma alimegwa sana......
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app
U.S.A na Ulaya magharibi huwa zinawekwa pamoja kwa kuitwa nchi za magharibi kwa kuwa zinashaabiana kwa kila kitu.Yaani hapa ndio umemaliza kila kitu kuhusu Russia.
Lakini nazidi kushangaa (kutokana na argument yako) kwanini kwenye ramani USA haionekani kama European Country because it's culturally European?!
I can see some similarities culturally between USA and European countries.
Swali lilikuwa kwanini USA isionekane ipo Ulaya?U.S.A na Ulaya magharibi huwa zinawekwa pamoja kwa kuitwa nchi za magharibi kwa kuwa zinashaabiana kwa kila kitu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Pana ukweli hapa, kuna Jirani hapa alipelekwa kusoma huko india akaanza ile michezo ya kuchomoa pesa kwenye machine za atm kwa kuchakachua kadi kwa kutumia vifaa na software alizonunua kwa wachina.Mie kwa ninao wajua waliosoma india na china,wengi wameishia kwenye illegal businesses
Huyu kasoma vyuo vinavyoeleweka sio hivi wanavyopelekwa wadogo zetuUnamjuwa CEO wa Google LLC?
Na sasa hivi kapewa madaraka zaidi na wamiliki wa hiyo kampuni akina Lary Page kuwa CEO wa Alphabet Group of companies yaani Google ipo ndani ya Alphabet.
Huyu anaitwa Pichai Sundararajan , also known as Sundar Pichai .
Kazaliwa India, kasomea India hadi shahada ya kwanza, muwe mnaweka akiba ya maneno, punguzeni ujuaji mwingi huku hamjui mengi kihiivyo.
Orodha ni ndefu ila punguzeni dharau, stereotype thinking, prejudice, and the like.
Sasa hivi huduma nyingi za ICT zinakuwa ourtsourced nje ya Marekani, Australia, Ulaya n.k. kwenda kwa makampuni yaliyopo India.
CC: Hivi punde
Wewe ndio umleta jibu sahihi.Huyu kasoma vyuo vinavyoeleweka sio hivi wanavyopelekwa wadogo zetu
Umenikumbusha Mkuu wa Itifaki Enzi za Jk, bonge la mtu mtoto wa mjini mwana Saigon Marehemu Balozi Abdul Omary Sisco Mtiro.Nakumbuka... Nlikuwa namuonaga Sisco mtiro akiwashulikia watu kwenda Kusoma hko
Mengine Ngj nmezeee..... [emoji40][emoji40][emoji40]
Wema sepetu mwenyewe aliendaga hko ila arudi mapema
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji28][emoji28][emoji28]Sema na sisi tuliobaki bongo tuna majungu sana