India, China, Malaysia etc ukisoma hko hawaruhusu upige part time job
Mtazame Chenge Nyoka Mwenye Makengeza Mjanja Sana
Haogopi Kitu, Hata Watanzania Walipolalamika Kuibiwa Pesa Yeye Akiwa Nchi Za Ng'ambo.
Aliporudi Tanzania Pale Airport Alisema Bila Woga Vile Ni Vijisenti
Professor Tibaijuka Akasema Pesa Ya Mboga
Ulaya Noma Sasa Hivi
Omary Nundu Akiwa Waziri Alishinikizwa Ajiuzuru
Aligoma Akasema Hawezi Kujiuzuri Haoni Kosa Lake
Wakisoma Asia Hawana Confidence!!![]()
Sema na sisi tuliobaki bongo tuna majungu sana
Ama kweli jamaa wewe ni old timer miaka kati ya 2006-2010 ilikua ni malaysia na india kwenda mbele...Nimekumbuka zile speed za kwenda Kusoma Malaysia..... Sjui zmeishia wapi?
Kama mtoto wako alikuwa wa kike basi lzma alimegwa sana......
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app



Ama kweli jamaa wewe ni old timer miaka kati ya 2006-2010 ilikua ni malaysia na india kwenda mbele...
Mkuu hata wewe hapa haujaeleweka. Usiwe mmoja wao.Sasa huko utajifunza nini?
Wajapan wanejaa msongo, Wachina hawaeleweke zaidi kuongeza taka kichwani
Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbe KIA ni chuo cha waliofeli?!Wadada waliosoma China wamekua slay queens tu insta. Trips za hong kong nyingi wakirudi bongo hamna wanachojua. TZ Ukiondoa Kampala University Dar es salaam hakuna chuo kinachukua failures. Failures wote wapo China na India.
Sent using Jamii Forums mobile app
Uzeni sembe hamna jinsiTuliopo Cuba na Brazir je?
Division form unasoma MD pale. Pesa yako tu. Wana foundation courses so ni kama unarudia A level tena.Kumbe KIA ni chuo cha waliofeli?!
Bora asia Urusi ukirudi ni mlevi chakari, mchumi uliyekubuhu hata chakula huli nadhani..........?