Sexer
JF-Expert Member
- Oct 22, 2014
- 8,505
- 8,256
We nawe elewa basi unapoambiwa marekani ni nchi tajiri haina maana wamarekani wote matajiri.Hata ulaya na Marekani pia so wote wanatoboa Kuna Wengine siku ya kuwaaga airport wakiondoka huwa wameva suti za uhakika na viatu vya uhakika na masanduku mazuri ya uhakika wakienda ulaya na Marekani .Siku ya kurudi wanarudi wamevaa vikaptula,Ka Tshirt kamepauka ,miguuni kavaa kobasi na mgongoni kabeba begi wanazobeba watoto wanaosoma shule.Ndio.mzigo pekee anaokuwa nao
Sent using Jamii Forums mobile app



