Ukisoma Asia unarudi Bongo na stress tu

Ukisoma Asia unarudi Bongo na stress tu

Kwenye ramani Russia inaonekana kama European Country because it's culturally European.
Yaani hapa ndio umemaliza kila kitu kuhusu Russia.
Lakini nazidi kushangaa (kutokana na argument yako) kwanini kwenye ramani USA haionekani kama European Country because it's culturally European?!
I can see some similarities culturally between USA and European countries.
 
Naunga mkono hoja,
Kama wazazi au walezi inabidi uliangalie suala la kumpeleka mtoto hayo maeneo china cjui india maana zaidi zaidi vijana wanatamani kwenda huko kwa ajili ya kupata sehem za kupigia picha Ila ukirud bongo kama wewe ni graduater wa hivyo vyuo basi ujiandae kujiajir au uwe na connection nzito

Sent using Jamii Forums mobile app
Katika mahala ambako shule inapigwa hapa duniani ,INDIA ,KOREA na CHINA huwezi ukaziacha kwenye list,Huko nje inategemea umeenda kusoma chuo gani,india wana INDIAN INSTITUTE OF TECHLONOLOGIES hizo vyuo ni world class na wengi wakimaliza hapo wanakimbilia USA wengi ni ma CEO wa makampuni makubwa ,Nenda NASA,GOOGLE ,APPLE hakuna mahala utamkosa muhindi tena kwenye Vitenge,
Ndio maana tukiugua maradhi yakishindikana hapo muhimbili kwenye elimu ngumu tunakimbilia INDIA,CHINA nk Elimu ipo huko ila inategemea umefuata nini

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Katika mahala ambako shule inapigwa hapa duniani ,INDIA ,KOREA na CHINA huwezi ukaziacha kwenye list,Huko nje inategemea umeenda kusoma chuo gani,india wana INDIAN INSTITUTE OF TECHLONOLOGIES hizo vyuo ni world class na wengi wakimaliza hapo wanakimbilia USA wengi ni ma CEO wa makampuni makubwa ,Nenda NASA,GOOGLE ,APPLE hakuna mahala utamkosa muhindi tena kwenye Vitenge,
Ndio maana tukiugua maradhi yakishindikana hapo muhimbili kwenye elimu ngumu tunakimbilia INDIA,CHINA nk Elimu ipo huko ila inategemea umefuata nini

Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo sio nchi tatizo ni vyuo mnavyoenda kusoma huko. Mtu anaenda kusoma Lovely punjab university

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaani hapa ndio umemaliza kila kitu kuhusu Russia.
Lakini nazidi kushangaa (kutokana na argument yako) kwanini kwenye ramani USA haionekani kama European Country because it's culturally European?!
I can see some similarities culturally between USA and European countries.

I think it's because, US ina large immigrants from every European Country. Na pia sio Europe tuu, bali Asia, Africa.
Kwahiyo US imechukua cultures from all over the world. Hivyo US nilisikia hamna national culture, you can find any culture in the US.

Kwahiyo hizo similarities unazoziona ni kwa sababu ya European immigrants waliopo US.
 
Katika mahala ambako shule inapigwa hapa duniani ,INDIA ,KOREA na CHINA huwezi ukaziacha kwenye list,Huko nje inategemea umeenda kusoma chuo gani,india wana INDIAN INSTITUTE OF TECHLONOLOGIES hizo vyuo ni world class na wengi wakimaliza hapo wanakimbilia USA wengi ni ma CEO wa makampuni makubwa ,Nenda NASA,GOOGLE ,APPLE hakuna mahala utamkosa muhindi tena kwenye Vitenge,
Ndio maana tukiugua maradhi yakishindikana hapo muhimbili kwenye elimu ngumu tunakimbilia INDIA,CHINA nk Elimu ipo huko ila inategemea umefuata nini

Sent using Jamii Forums mobile app
Sikatai unacho kisema na ndio maana hata china ipo vizuri kwenye masuala mazima ya injinialini mkuu lakini, asilimia kubwa ya watoto wetu huku hawaendi kusoma hivyo vyuo, majority wanasoma vyuo vya hadhi ya chini sana ambavyo wazawa wa huko hawavipi kipaumbele kabisa katika machaguo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mko sawa but niko sawa zaidi...coz urusi ipo kote asia na eastern Europe...25%ipo Europe 75% ipo north Asia..ikijulikana kama Siberia..... So mimi(nmesoma KIA)nlikuwa 75%correct ninyi mliosoma China mko 25%correct....Although watu wengi urusi wanaishi upande wa Europe kwasababu hata mji mkuu upo upande wa ulaya
Geographically speaking, Urusi/Russia is in both Europe and Asia.
Sema ipo hivi, Eneo kubwa la landmass lipo Asia, ila sasa asilimia kubwa ya Russia's population lives in Europe, hii ni kwasababu miji mikubwa miwili ipo located in Europe.

Kwenye ramani Russia inaonekana kama European Country because it's culturally European.
👏👏👏
 
Back
Top Bottom