Ukisoma Asia unarudi Bongo na stress tu

Ukisoma Asia unarudi Bongo na stress tu

Majungu tuna ongoza kwakweli, utasikia kaja mikono mitupu, utazani alipoenda miguu na mikono aliikuta huko

Sent using Jamii Forums mobile app
Hata ulaya na Marekani pia so wote wanatoboa Kuna Wengine siku ya kuwaaga airport wakiondoka huwa wameva suti za uhakika na viatu vya uhakika na masanduku mazuri ya uhakika wakienda ulaya na Marekani .Siku ya kurudi wanarudi wamevaa vikaptula,Ka Tshirt kamepauka ,miguuni kavaa kobasi na mgongoni kabeba begi wanazobeba watoto wanaosoma shule.Ndio.mzigo pekee anaokuwa nao
 
Naunga mkono hoja,
Kama wazazi au walezi inabidi uliangalie suala la kumpeleka mtoto hayo maeneo china cjui india maana zaidi zaidi vijana wanatamani kwenda huko kwa ajili ya kupata sehem za kupigia picha Ila ukirud bongo kama wewe ni graduater wa hivyo vyuo basi ujiandae kujiajir au uwe na connection nzito

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Division form unasoma MD pale. Pesa yako tu. Wana foundation courses so ni kama unarudia A level tena.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hata st Joseph University kibamba wanapokea Failures

ukifika pale unapigwa Foundation Course 2 years then unaanza Dip

Mkwanja wako tu Elimu ya sasa hivi hakishindikani kitu,muhimu usiwe na div 0
 
Eti mtu anakwenda kusoma India nchi ambayo bado raia wake bado wana imani kali za ushirikina na kuabudu ming'ombe
Unamjua CEO wa Google LLC?
Na sasa hivi kapewa madaraka zaidi na wamiliki wa hiyo kampuni akina Larry Page kuwa CEO wa Alphabet Group of companies yaani Google ipo ndani ya Alphabet.

Huyu anaitwa Pichai Sundararajan , also known as Sundar Pichai .
Kazaliwa India, kasomea India hadi shahada ya kwanza, muwe mnaweka akiba ya maneno, punguzeni ujuaji mwingi huku hamjui mengi kihiivyo.

Orodha ni ndefu ila punguzeni dharau, stereotype thinking, prejudice, and the like.
Sasa hivi huduma nyingi za ICT zinakuwa ourtsourced nje ya Marekani, Australia, Ulaya n.k. kwenda kwa makampuni yaliyopo India.
CC: Hivi punde
 
Ni Ulaya Mashariki kwani na wewe umesoma hadi darasa la ngapi? maana hii jografia nilifundishwa darasa la 4
Hii ndio elimu ya jiografia uliyosomea Ulaya au Marekani?
Urusi ni Ulaya Mashariki
Ni eastern europe

Sent using Jamii Forums mobile app
Mko sawa but niko sawa zaidi...coz urusi ipo kote asia na eastern Europe...25%ipo Europe 75% ipo north Asia..ikijulikana kama Siberia..... So mimi(nmesoma KIA)nlikuwa 75%correct ninyi mliosoma China mko 25%correct....Although watu wengi urusi wanaishi upande wa Europe kwasababu hata mji mkuu upo upande wa ulaya
 
Kwani urusi sio asia?
Urusi ni Ulaya Mashariki
Hii ndio elimu ya jiografia uliyosomea Ulaya au Marekani?
Geographically speaking, Urusi/Russia is in both Europe and Asia.
Sema ipo hivi, Eneo kubwa la landmass lipo Asia, ila sasa asilimia kubwa ya Russia's population lives in Europe, hii ni kwasababu miji mikubwa miwili ipo located in Europe.

Kwenye ramani Russia inaonekana kama European Country because it's culturally European.
 
Mko sawa but niko sawa zaidi...coz urusi ipo kote asia na eastern Europe...25%ipo Europe 75% ipo north Asia..ikijulikana kama Siberia..... So mimi(nmesoma KIA)nlikuwa 75%correct ninyi mliosoma China mko 25%correct....Although watu wengi urusi wanaishi upande wa Europe kwasababu hata mji mkuu upo upande wa ulaya
Kumbe umesoma KIA . Case closed!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom