Jadda
JF-Expert Member
- May 20, 2019
- 31,548
- 88,536
Kwa kipi hasa unachompa au unachomfanyia?Amani sana baharia wangu, mzinga usiwepo kabisa na aongeze kuvua walau mara tano
Hapo jumatatu na jumanne ndio mapumziko
Kwa kipi hasa unachompa au unachomfanyia?Amani sana baharia wangu, mzinga usiwepo kabisa na aongeze kuvua walau mara tano
Hapo jumatatu na jumanne ndio mapumziko
Marianah, umenena mazito but i am asking myself "unamsaidia nini mpenzi wako au mmeo katika kutimiza ndoto za kizungu au nawe unampiga bili tu?"Kwani bongo hakuna mashoga? Au wazungu wanaonekana wabaya kwa sababu wanafanya hadharani ila wabongo wanaonekana wema kwa sababu wanafanya sirini? Haya mambo yapo dunia nzima na wala hayakuanzia kwa wazungu
Yalianzia miji ya Sodoma na Gomora ambayo ipo mashariki ya kati mwa dunia ila ni vile tu wazungu hawataki unafiki wameamua wafanye hadharani siyo kama mataifa mengine yanajifanya kupinga ushoga kumbe unafiki tu wanafanya sirini
Kwahiyo usiniambie habari za ushoga maana upo dunia nzima na hapa hoja ni kwamba wazungu wametuzidi kila kitu na hatutakuja kuwafikia hata siku moja na ukweli utabaki pale pale kuwa waafrika wengi ni wapumbavu na ni wa kudharauliwa tu
Kutwa kuwaza ngono na ndiyo maana hatuendelei hapo ulipo usikute hauna maisha yanayoeleweka ila umebaki kuwaza ngono tu! SMH! So I guess you have now understood who has a poor mind between me and you
Wewe unawaza nini?
Marianah, umenena mazito but i am asking myself "unamsaidia nini mpenzi wako au mmeo katika kutimiza ndoto za kizungu au nawe unampiga bili tu?"
Nafatilia comments zako kwa ajiri ya kujua "Inside of your mind" but seems unajitambua may be[emoji848][emoji848]Kwahiyo hapo unahisi unakuwa umefanya jambo la maana si eti? Yaani wanaume wa bongo na roho zenu hizo bado mnataka muonewe huruma na wanawake? Acheni tu yanayowakuta yawakute kwa kweli
Nafatilia comments zako kwa ajiri ya kujua "Inside of your mind" but seems unajitambua may be[emoji848][emoji848]
Naendelea na upembuzi wangu njuu yakoLabda wanawake malaya wanaowaza ngono kila wakati ila mwanamke anayejielewa atakupenda tu
Ni kweri, jambo hilo ni sawa na kwenda beach kurelax tuMkishakiweka cha muhimu kuliko vyote ndipo mnapofeli
Uliwahi tendwa?Nani alikwambia kuwa zamani wanaume hawakuwa na mawazo hayo? Yaani wanaume wa kiafrika ndiyo mawazo yao miaka nenda rudi na wala sitaki kuwabadilisha ila nataka wajue tu kuwa ni wapumbavu maana hawajui hilo!
Wewe kwako mwanamme ni nani?Ah wanaume wa kibongo mmezidi aisee yaani kwa wanaume wa bongo heshima siyo kutafuta pesa nyingi ila ni kugegeda wanawake wengi! SMH!
Song of lawino (rawino)Mimi si mwafrika!!
So you mean we need to treat like barter trade system?Ndiyo acha tu iwe hivyo maana hata ninyi mkikubaliwa tu tayari mnawafanya watoto wa watu mahousegirl akija kwako lazima afanye kazi zote za ndani sasa kwani wewe hauziwezi au yeye naye ni mzazi wako?
Pumba, maana kila mwanamke husema hivyo juu ya mme wake.Give me even one reason why I should appreciate Tanzanian men
By the way I never criticize all men but most men especially African men and ofcourse there are some exceptions my husband being one of them
Kutokana na majibu yako, ushawahi umizwaaa, thus why you hate men hata uliyenae unazuga nae tu but mambo si shwariUsiulize namsaidia nini sema tunasaidiana nini kwani yeye hatakiwi kunisaidia majukumu yangu mimi tu ndiyo nimsaidie majukumu yake si eti?
Uliwahi tendwa?
Mwanaume ni uchapakazi na siyo umalayaWewe kwako mwanamme ni nani?
I concluded conlusively ushaumizwa mdada wa watu, mapenzi noma sana.Mmhh ukimaliza kuzifatilia nipo
So you mean we need to treat like barter trade system?
Why you hate them, what tabia za umalaya zinategemea man and woman?.Nope
Pumba, maana kila mwanamke husema hivyo juu ya mme wake.