Ukiona unawaelewa wanawake wanataka nini ujue umekaribia kufa!

Ukiona unawaelewa wanawake wanataka nini ujue umekaribia kufa!

Hapana mkuu hapo nimejiongelea mimi tu sijawaongelea wanawake wote wapo wanawake ambao wanaweza kuishi na wanaume masikini ili mradi tu wawe na nguvu za kiume

Na hao wanawake kwangu mimi naona kama vile ni wale ambao wanapenda sana ngono yaani kwao ngono ndiyo kipaumbele kuliko kitu kingine chochote binadamu tunatofautiana mitazamo na mahitaji
Wewe unapenda hela tu, huvutiwi na kingine zaidi ya hicho kwa mwanaume its very risky kujenga maisha na mtu wa aina hio maana siku zikipungua tu ujue ni masimango, gubu tu na kunyimwa unyumba huku hutaki usalitiwe. Wanawake wa aina yako ndio mnaongoza kwa vilio maana wepesi sana kutema Big G kwa karanga za kuonjeshwa. Tutaendelea kuwaonjesha karanga kama ilivyo ada, unakula pesa kidogo ukivua chupi imeisha hio. On to the next one...
 
Hiyo 50/50 mbona mnaitaka kwenye kutafuta pesa tu hamuitaki na kwenye kufanya kazi za ndani? Tafuteni tu hamna namna!
Mke anatakiwa afanye yake kama mke, mie nitafanya yangu kama mume. Kazi za ndani mtu akijiskia anakusaidia tu. Inategemea unamridhisha kwa kiwango gani.
 
Unamuongelea mke au changudoa??
Jamaa amekuwa loud and clear...Its like a barter trade! You offer me your pussy i offer you some money.

Wanawake wengi sikuhizi ni malaya tu tofauti ni kuwa hawajipangi barabarani kama wale tuliowazoea kona bar au uwanja wa fisi na kimboka. Kama huwezi vua chupi hadi ulipwe au uone kibunda kuna tofauti gani sasa. Halafu ndio unajitia umekufa umeoza, waiii!!!
 
Wewe unapenda hela tu, huvutiwi na kingine zaidi ya hicho kwa mwanaume its very risky kujenga maisha na mtu wa aina hio maana siku zikipungua tu ujue ni masimango, gubu tu na kunyimwa unyumba huku hutaki usalitiwe. Wanawake wa aina yako ndio mnaongoza kwa vilio maana wepesi sana kutema Big G kwa karanga za kuonjeshwa. Tutaendelea kuwaonjesha karanga kama ilivyo ada, unakula pesa kidogo ukivua chupi imeisha hio. On to the next one...
Hahaaa umepiga pentagon point Bosi [emoji28]
 
Duuuh... [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Jamaa amekuwa loud and clear...Its like a barter trade! You offer me your pussy i offer you some money.

Wanawake wengi sikuhizi ni malaya tu tofauti ni kuwa hawajipangi barabarani kama wale tuliowazoea kona bar au uwanja wa fisi na kimboka. Kama huwezi vua chupi hadi ulipwe au uone kibunda kuna tofauti gani sasa. Halafu ndio unajitia umekufa umeoza, waiii!!!
 
Hapana mkuu hapo nimejiongelea mimi tu sijawaongelea wanawake wote wapo wanawake ambao wanaweza kuishi na wanaume masikini ili mradi tu wawe na nguvu za kiume

Na hao wanawake kwangu mimi naona kama vile ni wale ambao wanapenda sana ngono yaani kwao ngono ndiyo kipaumbele kuliko kitu kingine chochote binadamu tunatofautiana mitazamo na mahitaji
mwisho wa siku anaanza kugawa kwa mtu anayeweza kumpa pesa ndio mwisho wao maana hiyo raha haitadumu kwa miaka mitatu
 
Hawa watu balaa.Kuna mmoja huku niliko Cambodia ni shidaaa,Yani nimeonesha dalili za kumkubali sasa najipanga kutia neno siku zijazo nikawa nam-care tu, handling sn hata mbele za watu.Hee! bidada akafunguka sw et" tamuuuuu ujue sikuelewi kabisa dhidi yangu?"nikasema relax tutaongea mbele ya safar.Nikapunguza care,hee analalamika.Njo home Nina mazungumzo, anasema huwa siendi kwa mvulana.Nikawa busy,mara upo wp siku hizi? nipo.Naomba picha zako,za nini?haya nakutumia 4 tu!!![emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Yani ni patashikaaaaa!!!HAWAELEWEKI
 
Kwani wanaume hamna kero au kero zenu mnaona ni halali kuwafanyia wake zenu? Ofcourse wapo wanawake wanaoachwa bila sababu yaani ni tamaa tu za waume zao mfano wanaume wengi sana huwa wanasema kabisa "mimi nikiwa masikini nitachukua mwanamke yeyote hata mbaya tu ili tuchume naye mali tufanikiwe halafu nikishakuwa tajiri nampiga chini naanza kula watoto wazuri au nitamuweka ndani halafu nitaanza kuchepuka na watoto wazuri" sasa kama kweli hao wanaume wangekuwa wanawaheshimu wake zao wangewaza hata kuwaacha au kuwasaliti endapo watapata pesa?

Na wanawake wakisikia kauli kama hizi wanaona bora wakute mwanaume tayari ana kila kitu ili hata wakiachwa au wakisalitiwa haitawauma sana maana hawana mchango wowote kwenye hizo mali za mwanaume kuliko kuwa na mchango mkubwa halafu wanaachwa au wanasalitiwa ni haki hiyo halafu hivi wanaume kwanini mnapenda sana kutupa lawama kwa wanawake yaani kwanini hamtaki kuangalia ninyi kwa upande wenu mnakosea wapi hadi wanawake wako hivi kila siku mnaona kama vile wanawake ndiyo wenye makosa na ndiyo chanzo cha matatizo yote seriously sijawahi kuona wanaume mnaadmit makosa yenu ila ndiyo kwanza mnatafuta sababu ya kutetea maovu yenu yaani hata kama ndiyo ego ila that is too much aise hivi shida ni nini why always women and not men is blaming women the solution?
Sio sababu, kuachwa inategemea na kiwango cha adabu ulichonacho kwa mumeo au mwanaume wako. Ukiona umeachwa ujue kero zimezidi.
 
Hahahaha hata nikisema napenda mwanaume muaminifu na mwenye mapenzi ya kweli swali linakuja je wapo kwenye dunia hii? Hawapo sasa tupende nini kingine? Maana tukisema tunataka waume japo waaminifu tu na wenye mapenzi ya kweli mnatucheka mnasema labda tuwaumbe wenyewe maana yake hawapo si ndiyo? Sasa kama hawapo tupende nini kingine zaidi ya pesa na mali? Au mnataka tupende tu mwanaume wa aina yoyote ili mradi ana uume?

Mfano mwanaume anataka kunioa mahari inabidi nimpe mimi ndiyo alete kwetu ajifanye kama katoa yeye anaoa hana mustakabali wowote wala malengo yoyote ya maisha anaingia kwenye ndoa na fimbo yake moja na kengele zake mbili tu anategemea kwenda kuhudumiwa na mke kila kitu agharamikie mke na bado kazi za nyumbani zote afanye mke halafu yeye awe anakitembeza tu huko nje na bado nikimuambia ukweli anifokee au anipige aniambie namkosea heshima ndiyo mnataka wanawake tuwe hivyo si eti?
Wewe unapenda hela tu, huvutiwi na kingine zaidi ya hicho kwa mwanaume its very risky kujenga maisha na mtu wa aina hio maana siku zikipungua tu ujue ni masimango, gubu tu na kunyimwa unyumba huku hutaki usalitiwe. Wanawake wa aina yako ndio mnaongoza kwa vilio maana wepesi sana kutema Big G kwa karanga za kuonjeshwa. Tutaendelea kuwaonjesha karanga kama ilivyo ada, unakula pesa kidogo ukivua chupi imeisha hio. On to the next one...
 
Au siyo? Yaani wanaume kuwasaidia wake zenu ni hadi wawaridhishe ila wanawake kuwasaidia waume zao wasisubiri kuridhishwa wawasaidie tu hata kama waume zao hawawaridhishi?
Mke anatakiwa afanye yake kama mke, mie nitafanya yangu kama mume. Kazi za ndani mtu akijiskia anakusaidia tu. Inategemea unamridhisha kwa kiwango gani.
 
Mwanamke akiwa ananivulia pichu angalau Mara 4 kwa wiki na mizinga ikawa sio ya mwendo kasi tutadumu angalau
Amani sana baharia wangu, mzinga usiwepo kabisa na aongeze kuvua walau mara tano
Hapo jumatatu na jumanne ndio mapumziko
 
Jamaa amekuwa loud and clear...Its like a barter trade! You offer me your pussy i offer you some money.

Wanawake wengi sikuhizi ni malaya tu tofauti ni kuwa hawajipangi barabarani kama wale tuliowazoea kona bar au uwanja wa fisi na kimboka. Kama huwezi vua chupi hadi ulipwe au uone kibunda kuna tofauti gani sasa. Halafu ndio unajitia umekufa umeoza, waiii!!!
Wewe unadhani ni kwanini wanawake wamefikia hatua hiyo?
 
Chamsingi unakua na stock kama ya 5 au 6 hivi unawafukuzia na ukiingia kitaa kwenye mizunguko unaongeza tu matarakimu hauwezi kuona usumbufu pia we jifanye fala siku unakuja kumla unaanza kuota mapembe unabaki kutumiwa message za "Sikutegemea uwe upo hivi? Nilijua upo tofauti" halafu na wewe unazisoma hauzijibu
mkuu, we mjibu karibu tuchome mahindi[emoji41][emoji41]
 
hakuna kitu kinaitwa kuwachezea wadada kwani wao ni mipira its just life??
Mnawachezea ndiyo maana mkitoka hapo mnaanza kuwadharau mngekuwa hamuwadharau hapo ndiyo tungesema kweli hamuwachezei
 
si ungesema tu wewe ni kamchape? kila mawanamke unamtaka?
watu ndoa zao zimedumu zaidi ya miaka 25 leo hiii unaongea utumbo kama huo?
kwanza unamiaka mingapi nisije fika mbali kumbe napigishana kelel na mtoto
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom