Mwambie bana maana hawa hawaeleweki.... muulize yeye ata enjoy mume wake/boyfriend wake awe na mijihera kibao halafu jogoo hapandi mlima au akijalibu kupanda hata robo hafiki? (Mungu aepushie mbali ni mfano tu) ...wanaume wa hivi huwa hawana raha hata kama ana mijehera ya kutandaza barabarani na hawa hawa kina marrianah ndo wa kwanza kuwafanya wajihisi sio wanaume[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] lazma uwe rijali kisha ndio uwe na pesa..Ndio shina la maisha yenye utamu mpaka Tindini.