Kwa hy hata baba yako ni mpumbavu au wewe si mwafrikaNani alikwambia kuwa zamani wanaume hawakuwa na mawazo hayo? Yaani wanaume wa kiafrika ndiyo mawazo yao miaka nenda rudi na wala sitaki kuwabadilisha ila nataka wajue tu kuwa ni wapumbavu maana hawajui hilo!
Mimi si mwafrika!!Kwa hy hata baba yako ni mpumbavu au wewe si mwafrika
"Nendeni mkazaliane muongezeke na kuijaza dunia" Sasa wewe unataka tuweze nini kingine nakati Wanaume tuna X & Y ila Wanawake mna Y pekee?Ndicho wanaume wa bongo mnachowaza hicho hamna kingine acheni tu wazungu watutawale na watudharau haki ya nani
Ukiomba no ya simu tu tayari ushakuwa Mzazi wake hata kama unataka kupeana naye chaneli za maendeleo [emoji23]nami nasema tutawaliwe tu maana mianamke ya bongo ukiomba namba tu umeshakua atm mashine anataka akuchune mpaka ubaki mifupa tu
"Nendeni mkazaliane muongezeke na kuijaza dunia" Sasa wewe unataka tuweze nini kingine nakati Wanaume tuna X & Y ila Wanawake mna Y pekee?
Ukiomba no ya simu tu tayari ushakuwa Mzazi wake hata kama unataka kupeana naye chaneli za maendeleo [emoji23]
You obviously need psychological advisement coz I hadn't ever see you to be in positive minds at least once to any thread talking about Men.Kwani bongo hakuna mashoga? Au wazungu wanaonekana wabaya kwa sababu wanafanya hadharani ila wabongo wanaonekana wema kwa sababu wanafanya sirini? Haya mambo yapo dunia nzima na wala hayakuanzia kwa wazungu
Yalianzia miji ya Sodoma na Gomora ambayo ipo mashariki ya kati mwa dunia ila ni vile tu wazungu hawataki unafiki wameamua wafanye hadharani siyo kama mataifa mengine yanajifanya kupinga ushoga kumbe unafiki tu wanafanya sirini
Kwahiyo usiniambie habari za ushoga maana upo dunia nzima na hapa hoja ni kwamba wazungu wametuzidi kila kitu na hatutakuja kuwafikia hata siku moja na ukweli utabaki pale pale kuwa waafrika wengi ni wapumbavu na ni wa kudharauliwa tu
Kutwa kuwaza ngono na ndiyo maana hatuendelei hapo ulipo usikute hauna maisha yanayoeleweka ila umebaki kuwaza ngono tu! SMH! So I guess you have now understood who has a poor mind between me and you
Usitufanyie hivyo Bibiye tafadhali tuonee huruma watoto wa Mwanamke mwenzio Marrianah Mama [emoji851]Kwahiyo hapo unahisi unakuwa umefanya jambo la maana si eti? Yaani wanaume wa bongo na roho zenu hizo bado mnataka muonewe huruma na wanawake? Acheni tu yanayowakuta yawakute kwa kweli
Kwa niaba ya Baba yetu Mzazi aliyekuzaa nakataa nikisema hapana kwa big NO.Nani alikwambia kuwa zamani wanaume hawakuwa na mawazo hayo? Yaani wanaume wa kiafrika ndiyo mawazo yao miaka nenda rudi na wala sitaki kuwabadilisha ila nataka wajue tu kuwa ni wapumbavu maana hawajui hilo!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mimi si mwafrika!!
Give me even one reason why I should appreciate Tanzanian menYou obviously need psychological advisement coz I hadn't ever see you to be in positive minds at least once to any thread talking about Men.
Can't you even try to appreciate them rather than arguing all the time at least once Marrianah Mummy?
Usitufanyie hivyo Bibiye tafadhali tuonee huruma watoto wa Mwanamke mwenzio Marrianah Mama [emoji851]
Kwa niaba ya Baba yetu Mzazi aliyekuzaa nakataa nikisema hapana kwa big NO.
Biology nimeisomea hapa hapa kwenye shule za kayumba sababu sisi ndiyo tunapandikiza mbegu lakini ninyi Wanawake mnapokea na kuzirutubisha [emoji3][emoji1787][emoji1787]tuna Y pekee? Umesoma biology ya wapi?
[emoji5][emoji5]and by the way huyo huyo Mungu aliyeruhusu tuzaliane na tuongezeke ndiyo huyo huyo aliyekataza uzinzi na uasherati tena kwa jinsia zote mbili
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Biology nimeisomea hapa hapa kwenye shule za kayumba sababu sisi ndiyo tunapandikiza mbegu lakini ninyi Wanawake mnapokea na kuzirutubisha [emoji3]
The main reason is that first of all you have to understand that there is anyone is perfect to 100% rate.Give me even one reason why I should appreciate Tanzanian men
By the way I never criticize all men but most men especially African men and ofcourse there are some exceptions my husband being one of them