ruby garnet
JF-Expert Member
- Apr 10, 2017
- 2,922
- 3,912
Mimi binafisi namchukia mwanamke nikimtingoza anitangulizie matatizo yake. Ndiyo napenda kulea na kuwajibika kama baba, why nakutongoza tu unataka nikuhudumie hapo hapo?Hivi kati ya wanaume na wanawake ni kina nani wanapenda barter trade?