Ukiona unawaelewa wanawake wanataka nini ujue umekaribia kufa!

Ukiona unawaelewa wanawake wanataka nini ujue umekaribia kufa!

Chamsingi unakua na stock kama ya 5 au 6 hivi unawafukuzia na ukiingia kitaa kwenye mizunguko unaongeza tu matarakimu hauwezi kuona usumbufu pia we jifanye fala siku unakuja kumla unaanza kuota mapembe unabaki kutumiwa message za "Sikutegemea uwe upo hivi? Nilijua upo tofauti" halafu na wewe unazisoma hauzijibu
 
Mbona wanaume wa kibongo mkishatongoza mkakubaliwa tu tayari mnawafanya watoto wa watu mahousegirl wenu
nami nasema tutawaliwe tu maana mianamke ya bongo ukiomba namba tu umeshakua atm mashine anataka akuchune mpaka ubaki mifupa tu
 
Kwani bongo hakuna mashoga? Au wazungu wanaonekana wabaya kwa sababu wanafanya hadharani ila wabongo wanaonekana wema kwa sababu wanafanya sirini? Haya mambo yapo dunia nzima na wala hayakuanzia kwa wazungu

Yalianzia miji ya Sodoma na Gomora ambayo ipo mashariki ya kati mwa dunia ila ni vile tu wazungu hawataki unafiki wameamua wafanye hadharani siyo kama mataifa mengine yanajifanya kupinga ushoga kumbe unafiki tu wanafanya sirini

Kwahiyo usiniambie habari za ushoga maana upo dunia nzima na hapa hoja ni kwamba wazungu wametuzidi kila kitu na hatutakuja kuwafikia hata siku moja na ukweli utabaki pale pale kuwa waafrika wengi ni wapumbavu na ni wa kudharauliwa tu

Kutwa kuwaza ngono na ndiyo maana hatuendelei hapo ulipo usikute hauna maisha yanayoeleweka ila umebaki kuwaza ngono tu! SMH! So I guess you have now understood who has a poor mind between me and you
Sisi ni bora kuliko hao wazungu unawaona wa maana wanaoana wanaume kwa wanaume kila kukicha!
Poor mind
 
Chamsingi unakua na stock kama ya 5 au 6 hivi unawafukuzia na ukiingia kitaa kwenye mizunguko unaongeza tu matarakimu hauwezi kuona usumbufu pia we jifanye fala siku unakuja kumla unaanza kuota mapembe unabaki kutumiwa message za "Sikutegemea uwe upo hivi? Nilijua upo tofauti" halafu na wewe unazisoma hauzijibu
Kwahiyo hapo unahisi unakuwa umefanya jambo la maana si eti? Yaani wanaume wa bongo na roho zenu hizo bado mnataka muonewe huruma na wanawake? Acheni tu yanayowakuta yawakute kwa kweli
 
Wanawake hawaileweki wanataka nini hasa maishani!na ukiona umeanza kuwaelewa basi ujue unakaribia kufa!
Akiwa na mwanaume tajiri atataka maskini na akipata maskini atataka tajiri!
Halafu visichana ndio pasua kichwa kabisa!utakuta namba kamekupa chenyewe Instagram tena kwa hiari yake kabisa DM ukimcheki WhatsApp Mara a respond Mara anajibu baada ya masaa 4,sasa kama haupo interested unatoa namba ya nini!?
Hivi hamjui Tecno hazichelewi kujaa!memory full
Foolish
Hii ishu ya namba mi ndo inanikera sana....unakuta kweli amekupa namba kwa ustaarabu kabisa wala hujamlazimisha...ila sasa ukianza mtafuta ana-blue tick tu.... mkikutana mjini anakuchangamkia kabisa na anasema ubusy unamsumbua, ukimcheki kwa simu maringo! Ukimpotezea analalamika kuwa umemchunia...kwa kweli hawaeleweki
 
Nani alikwambia kuwa zamani wanaume hawakuwa na mawazo hayo? Yaani wanaume wa kiafrika ndiyo mawazo yao miaka nenda rudi na wala sitaki kuwabadilisha ila nataka wajue tu kuwa ni wapumbavu maana hawajui hilo!
Walitutawala toka kitambo toka hatujawa na mawazo hayo we ni Nani wa kubadilisha

Waache watu wawaze
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom