Ukiona unawaelewa wanawake wanataka nini ujue umekaribia kufa!

Ukiona unawaelewa wanawake wanataka nini ujue umekaribia kufa!

Mimi naona inategemea na mwanaume anavyomtreat mwanamke wake mnajua wanaume msilalamike sana bila kujiangalia ninyi mnakosea wapi labda nikwambie tu mwanaume anayestahili mke mwema ni yule mwenye sifa hizi: mwenye mapenzi ya dhati, muaminifu, anayetimiza wajibu wake, anayemjali na kumsikiliza mke wake tofauti na hapo huyo mwanaume asimlaumu mwanamke atakayempata sasa je wapo wanaume wenye sifa zote hizo? Kama hawapo kwanini wao wanataka wanawake wenye sifa zote nzuri?
Kumbuka ndoa yako ni moja kati ya ndoa zilizopo kwenye jamii, ikiwa ndoa yako ni nzuri itatumika kama sample katika ndoa nzuri na ikiwa mbaya itakuwa mfano wa ndoa mbaya.
Maisha yamebadilika sana, sasa hakuna kazi za kike wala za kiume na ndiyo maana wengine wanaweka house boy badala ya house girl. Ukisema kunakazi za kike na za kiume katika ulimwengu wa sasa unakuwa unapoteza wewe maana ulimwengu ushatoka huko. Ndiyo maana nasema hivi wanawake waache tabia za kusubili watongozwe ili wamalize matatizo yao bali watafute pesa.
Mimi nimewahi date na mdada mfanyakazi anamshahara wake but akipokea msharaha anakuwa na jeuri, tarehe dume baby, baby haziishi kisa hana pesa, najiuliza why anakuwa hivi?. Hili ni tatizo kubwa kwa wadada wasomi ndiyo maana wanashindwa kulinda na kuboresha mahusiano, kwa kuwa hawajatambua mahusiano ni swala tofauti na vipato, mwanamke kuwa na kipato haina maana uwe jeuri na ndiyo maana wanaume wengi waliooa wasomi na wenye kazi wanakimbilia michepuko kwa maana humo ndani ni Pricples and law. Vipi kuhusu hilo?
 
Ndiyo nikauliza kwahiyo mnahalalisha umalaya? Hivi wewe ni dini gani mkuu? Na hiyo nature inayoiongelea ni nature ipi? Hiyo nature ndiyo ina nguvu kuliko Mungu aliyetuumba na aliyeiumba hiyo nature?
Soma vizuri, wanaume wachache wanawake wengi hivyo nature inatulazimisha tuwe nao wengi ili wote mpata kuzaaa pamoja na mahaba
 
Marianah mpenzi nakupa pongezi huwa unaenda nao Sawa kwenye mada ila ni vichwa ngumu hasa Extrovert.
Asante mwaya yaani ni vichwa ngumu haswa wengine wanaenda mbali zaidi kwa kuhusianisha ninayoyaandika humu na maisha yangu halisi wanasema nina stress za kuachwa au kunyanyaswa na wanaume

Yaani wanadhani kila mwanamke anayewakosoa wanaume ni kama Joyce Kiria tu aise ila hata waongee nini mimi siachi as long as najua wanayoongea siyo kweli bali wanajifariji tu basi huwa ndiyo ninazidi kuwakazia maana maneno yao hayabadilishi ukweli wowote
 
Kwangu bora mwanaume akose nguvu za kiume kuliko kukosa hela yaani kama ananihudumia vizuri basi nitajitahidi kumvumilia tu hali yake ila asipokuwa na hela hata awe na uume kama kombeo au awe na hamu za kushato akiwa anahangaika juu yangu nitakuwa namuona kama ling'ombe tu mwanaume unaringiaje nguvu za kiume wakati hauna pesa familia itakula hiyo mashine yako au? Au akiwa nazo mke ndiyo inatosha? Tena mimi sitaki kabisa kumsikia mwanaume ambaye atanitegemea kiuchumi huo ni mzigo
Wewe unaoongea tu Bibie....utamvumilia siku zote? Waweza kumvumilia lakini amini amini nakwambia kamwe hatofurahia Maisha yake.... Hakuna mwanaume atafutahia kuwa na mijihera halafu warembo anaishia kuwaita shemeji na kwa mkewe anaishia kumpapasa tu!!! Naamini hata wewe hautuvumilia kupapaswa tu kila siku bila kuzamishiwa na kufikishwa kwenye tamati ya kiu halisi
 
Kwa sababu mwanamke anakuwa ameshajua kuwa umemtongoza ili tu upige na kusepa lakini hauna malengo naye hivyo kabla haujapiga na kusepa na yeye lazima aambulie kitu
Mtazamo hasi huu....unakua umejuaje kama anata show na kusepa? Na kama unajiheshimu kwanini ukubali? Kwanini ujionyeshe kwamba uko tayari kutoa uke wako kwa kubadilishana na pesa kama kweli unajitambua na kujiheshimu?

Ndiomaana watu wanasema either umeshatendwa au haufurahii relationship uliyonayo au ulizokwishapitia au unafanya makusudi kuongelea vitu visivyo na uhalisia
 
Ndiyo nikauliza kwahiyo mnahalalisha umalaya? Hivi wewe ni dini gani mkuu? Na hiyo nature inayoiongelea ni nature ipi? Hiyo nature ndiyo ina nguvu kuliko Mungu aliyetuumba na aliyeiumba hiyo nature?
Waislamu wanaoa hata watatu. Dini yaruhusu.
 
Kwahiyo kumbe wanaume kinachowauma mkikosa nguvu za kiume ni kushindwa kuwa na michepuko hata kama mmeoa? Yaani mnafanya kulazimisha kabisa kutamani kuwa na michepuko?
Wewe unaoongea tu Bibie....utamvumilia siku zote? Waweza kumvumilia lakini amini amini nakwambia kamwe hatofurahia Maisha yake.... Hakuna mwanaume atafutahia kuwa na mijihera halafu warembo anaishia kuwaita shemeji na kwa mkewe anaishia kumpapasa tu!!! Naamini hata wewe hautuvumilia kupapaswa tu kila siku bila kuzamishiwa na kufikishwa kwenye tamati ya kiu halisi
 
Hehe unasema naongea vitu visivyo na uhalisia halafu hapo hapo unasema nimeshavipitia sasa nitakipitiaje kitu ambacho hakina uhalisia?

Halafu hivi hawa wanaume wanaosema kila siku kuwa wanawake wa siku hizi ni wa kupiga na kusepa au kuzalisha na kuacha huwa hawatongozi eenh?
Mtazamo hasi huu....unakua umejuaje kama anata show na kusepa? Na kama unajiheshimu kwanini ukubali? Kwanini ujionyeshe kwamba uko tayari kutoa uke wako kwa kubadilishana na pesa kama kweli unajitambua na kujiheshimu?

Ndiomaana watu wanasema either umeshatendwa au haufurahii relationship uliyonayo au ulizokwishapitia au unafanya makusudi kuongelea vitu visivyo na uhalisia
 
Siyo watatu tu hadi wanne kabisa ila je unajua wamepewa masharti na vigezo gani hadi kuruhusiwa kuoa mke zaidi ya mmoja?

Waulize waislam wanaojua maandiko ya kiislam vizuri watakwambia siyo unakurupuka tu kutolea mfano wa hiyo dini kuruhusu!
Waislamu wanaoa hata watatu. Dini yaruhusu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom