Ukimya ni usaliti

Ukimya ni usaliti

Every one is scared of what happened. Wengine wako Msibani. Wengine wanatafkari kabla ya kusema. It's a lot of stress in one week
 
Yaani mpaka viongozi wa dini wameufyta

9dec ngoja wanaume tuingie mzigoni kufa ni zawadi
Do or DIE.
 
Every one is scared of what happened. Wengine wako Msibani. Wengine wanatafkari kabla ya kusema. It's a lot of stress in one week
DO OR DIE Kifo ni zawadi
Momento mori..

Damu za wana haziendi bure TUTAKIWASHA and this time location itasoma Mbeya
9dec tukutane...
 
Hofu kwa wauaji ni mbaya sana na inaua kuliko hizo risasi. Angalia hii scenario. Hii ni tukio baya sana tena la kudhamiria na linahitaji hatua zisizo za kawaida. Je, wakitoka maaskofu wote wa Tanzania nzima, wakiongozwa kardinali, wakafanya mkutano, na kulaani yote yaliyotokea, hawa wahuni watathubutu kuwaua wote? Hivyo hivyo kwa viongozi na majaji wote wastaafu na asasi zote.
Sijui ila kwa hali ilivyo lolote linaweza kutokea, kwa sasa mfumo umekuwa hatari sana.
 
Tumevunjiwa maduka na kuibiwa,ndugu zetu wamekatwa vidole kisa walikua na wino wa kupiga kura,sasa tunapanda daladala mbezi kwenda city center miundombinu ya mwendokasi imechomwa na wahalifu


..Mama Ssh angetekeleza 4R angeiepusha nchi na vurugu na mauaji.
 
Wewe punguani huna moral authority yakulaani mauaji yeyote yale,hua unafurahia mauaji ya wapalestina hapa unakata kiuno mpaka unaangusha shanga zako za kiunoni,

Umeshusha sana nyuzi humu za kumtetea muuaji Natanyahu eti ICC haina uwezo wa kumkamata,toa unafiki wako hapa,wewe hutakiwi kujifanya eti umeumia,

Unapotetea haki za binadamu au kulaani mauaji ya watu wasio na hatia hutakiwi kubagua wakuwatetea,unapotetea muuaji wa sehemu moja jua kua huo uuaji wa watu wasio na hatia usipochukuliwa hatua basi utasambaa na sehemu zingine na kuua watu wasio na hatia kuonekana ni jambo la kawaida,

Waungwana hupinga mauji ya watu wasio na hatia bila kuangalia ukanda,kabila,skin color,dini na mengineyo,

Narudia tena,wewe punguani huna moral authority ya kujifanya umeumia hapa,ulikua unatamba hapa kua Gaza imevunjwa yote,funga domo lako hilo pimbi wewe.
Umesema ya kweli. Mtu analalamika gaza wasio na hatia kuuliwa, lakini anafurahia wasio na hatia kuuliwa hapa bongo
Mtu anashangilia wasio na hatia kuuliwa gaza, Ila anasikitika hapa wasio na hatia kuuliwa hapa bongo.

Kuna watu kama Kosugi , kimsboy na 100 others , Hawa wamekua wakipinga mauaji ya wasio na hatia popote, hawabagui. Hawa wanapigania haki kweli. Siku zote wamekua wakipinga uovu unaofanyika gaza, pia wamekua wakipinga uovu unaofanywa na ccm hapa bongo

Wewe pia unafurahia yanayofanya na ccm hapa bongo, lakini unahuzunishwa na uovu unaofanyika huko kwingine. Ukipinga uovu inapaswa kuwa kote

Juzi kuna mkuu anaitwa mjingamimi nilimuuliza swali kwa nini anaamini wanaopigania haki gaza watashinda Ila haamini wanaopigania haki bongo hawatashinda. Sikuelewa majibu yake, nikagundua yupo bias. Watu wengi wana unafki
 
Tumevunjiwa maduka na kuibiwa,ndugu zetu wamekatwa vidole kisa walikua na wino wa kupiga kura,sasa tunapanda daladala mbezi kwenda city center miundombinu ya mwendokasi imechomwa na wahalifu
Hivi hii ya kukatwa kidole ukiwa ulipiga kura ni kweli kabisa ama ilikuwa vitisho?
 
Umesema ya kweli. Mtu analalamika gaza wasio na hatia kuuliwa, lakini anafurahia wasio na hatia kuuliwa hapa bongo
Mtu anashangilia wasio na hatia kuuliwa gaza, Ila anasikitika hapa wasio na hatia kuuliwa hapa bongo.

Kuna watu kama Kosugi , kimsboy na 100 others , Hawa wamekua wakipinga mauaji ya wasio na hatia popote, hawabagui. Hawa wanapigania haki kweli. Siku zote wamekua wakipinga uovu unaofanyika gaza, pia wamekua wakipinga uovu unaofanywa na ccm hapa bongo

Wewe pia unafurahia yanayofanya na ccm hapa bongo, lakini unahuzunishwa na uovu unaofanyika huko kwingine. Ukipinga uovu inapaswa kuwa kote

Juzi kuna mkuu anaitwa mjingamimi nilimuuliza swali kwa nini anaamini wanaopigania haki gaza watashinda Ila haamini wanaopigania haki bongo hawatashinda. Sikuelewa majibu yake, nikagundua yupo bias. Watu wengi wana unafki
Pia wewe ni mnafiki Gaza hakuna uonevu wowote unaofanywa bali kilichokuwa kinaendelea ni Wapalestina kuvuna walichopanda Oct 07,2023.

Hao uliowataja hakuna hata mmoja anakemea uovu unaofanywa nchini na wanafurahia vitendo vya mauaji vilivyofanya na Magaidi wa Hamas Oct 07,2023
 
Utekaji mauaji kuwabambikia kesi viongozi wa chadema hawataki kupiga kelele
 
Tumevunjiwa maduka na kuibiwa,ndugu zetu wamekatwa vidole kisa walikua na wino wa kupiga kura,sasa tunapanda daladala mbezi kwenda city center miundombinu ya mwendokasi imechomwa na wahalifu
Maisha ya watu kuanzia waliokuwa wameuawa na kupotezwa miili yao mpaka leo haijulikani ilipo mpaka hawa waliouawa siku ya maandamano yana thamani kubwa more than zillion times ya hizo material things zilizoharibiwa au kuteketezwa.
 
Mali za watu na Miundombinu tunaweza kuzirejesha wakati wowote ule Je maisha ya watu mtayarejesha lini? Toka lini adhabu ya mtu kuandamana ni kumuua?
Hatuhitaji magaidi TZ yanatakiwa kufutwa kabisa duniani
 
CCM ndo imevunja vituo vya mwendokasi? CCM ndo imechoma maduka na sehemu za biashara za watu? Huna akili wewe hata ukiishiwa unga ndani utailaumu CCM

C.C.M imeshindwa kuvilinda hivyo vituo vya mafuta visichomwe na hao unaowaita wahuni,pia endapo mimi nitashindwa kupata unga ndani ujue C.C.M imeshindwa kuniandalia mazingira wezeshi ili mimi niupate huo unga!
C.C.M HAIWEZI KUKWEPA LAWAMA KWA HALI YOYOTE INAYOMKUTA MWANANCHI WA TANZANIA,PENYE KUPONGEZA TUTAPONGEZA
 
Mfalme Suleiman aliomba hekima na busara na akapewa,sijui huyu malkia wetu yeye aliomba nini yaani alishindwa kutumia japo busara kidogo aliyopewa na Mungu.

Hata ile kamati kuu yao ni kama haina wazee wenye busara wametoa matamko ya hovyo hovyo katikati ya majonzi , hata yule Mzee Wasira naye kashindwa kuwashauri chama chake hii siyo CCM aliyoiacha Nyerere,
 
Ona ulivo bolizozo...ww hata ukiumwa gono utailaumu CCM!

Ndiyo nitailaumu serikali ya C.CM,kwani haijanipa elimu faafu jinsi ya kujikinga na maradhi ya zinaa
C.CM ndiyo inayounda serikali,serikali ndiyo huweka mifumo mizuri ya elimu ili nijue namna gani naweza epukana/pambana na changamoto za dunia!

Mifumo ya elimu ikiwa butu,inatengeneza raia butu kichwani,UJINGA ndiyo husababisha Maradhi.
 
Ndiyo nitailaumu serikali ya C.CM,kwani haijanipa elimu faafu jinsi ya kujikinga na maradhi ya zinaa
C.CM ndiyo inayounda serikali,serikali ndiyo huweka mifumo mizuri ya elimu ili nijue namna gani naweza epukana/pambana na changamoto za dunia!

Mifumo ya elimu ikiwa butu,inatengeneza raia butu kichwani,UJINGA ndiyo husababisha Maradhi.
Huna akili
 
Back
Top Bottom