ShesRise_1
JF-Expert Member
- Aug 21, 2025
- 17,749
- 42,229
Unaweza kutofautisha ukimya na ujeuri?
Kuna msemo unasema Silence is golden
Ni kweli, lakini not every silence is wisdom
Kuna watu wanaonekana ni wakimya, na kweli wanaweza kuwa wakimya kwa asili yao
Ila wakati mwingine sio ukimya tu, bali nyuma ya huo ukimya kuna jeuri, kiburi au dharau
Kwa mfano, huwezi ukasalimiwa halafu ukaamua kukaa kimya, au ukaulizwa jambo ukawa unamtazama mtu bila kujibu, halafu useme eti wewe ni mkimya
Kwa mtazamo wangu huo sio ukimya wa kawaida, huo ni silent disrespect
Kila kitu kina faida na hasara zake
Ukimya una faida nyingi unaweza kukuepusha na ugomvi, maneno yasiyo ya lazima na makosa mengi
Lakini hapa naongelea ukimya
kupita kiasi, sio ukimya wa busara
Too much silence wakati mwingine inaweza kukugharimu
Unaweza kukosa fursa za kazi, biashara, urafiki au hata mahusiano mazuri
Watu wanaweza kukuona una jeuri, una kiburi au unawadharau, ilhali wewe unaamini ni tabia yako tu ya kuwa mkimya
Mimi naamini kuna tofauti kubwa kati ya being quiet na being rude
Mtu anaweza kuwa mkimya lakini bado akawa na heshima
Anaweza kuitikia salamu, kujibu anapoulizwa na kuwasiliana inapobidi
Na hata kushiriki mijadala mbali mbali na kutoa hoja
Heshima haihitaji maneno mengi
Hii ni kweli kabisa
Kwako mdau🫴
Swali la Mjadala👇
Unawezaje kutofautisha ukimya wa busara na ukimya unaoficha jeuri au dharau?
Au kwako yote ni kitu kimoja?
Ni Zipi faida hasa za kua mkimya sanaa?
Ni zipi hasara za kua mkimya sana?
Una furahia ukiwa karibu na mtu mkimya sana au unakua bored?
Kuna msemo unasema Silence is golden
Ni kweli, lakini not every silence is wisdom
Kuna watu wanaonekana ni wakimya, na kweli wanaweza kuwa wakimya kwa asili yao
Ila wakati mwingine sio ukimya tu, bali nyuma ya huo ukimya kuna jeuri, kiburi au dharau
Kwa mfano, huwezi ukasalimiwa halafu ukaamua kukaa kimya, au ukaulizwa jambo ukawa unamtazama mtu bila kujibu, halafu useme eti wewe ni mkimya
Kwa mtazamo wangu huo sio ukimya wa kawaida, huo ni silent disrespect
Kila kitu kina faida na hasara zake
Ukimya una faida nyingi unaweza kukuepusha na ugomvi, maneno yasiyo ya lazima na makosa mengi
Lakini hapa naongelea ukimya
kupita kiasi, sio ukimya wa busara
Too much silence wakati mwingine inaweza kukugharimu
Unaweza kukosa fursa za kazi, biashara, urafiki au hata mahusiano mazuri
Watu wanaweza kukuona una jeuri, una kiburi au unawadharau, ilhali wewe unaamini ni tabia yako tu ya kuwa mkimya
Mimi naamini kuna tofauti kubwa kati ya being quiet na being rude
Mtu anaweza kuwa mkimya lakini bado akawa na heshima
Anaweza kuitikia salamu, kujibu anapoulizwa na kuwasiliana inapobidi
Na hata kushiriki mijadala mbali mbali na kutoa hoja
Heshima haihitaji maneno mengi
Hii ni kweli kabisa
Kwako mdau🫴
Swali la Mjadala👇
Unawezaje kutofautisha ukimya wa busara na ukimya unaoficha jeuri au dharau?
Au kwako yote ni kitu kimoja?
Ni Zipi faida hasa za kua mkimya sanaa?
Ni zipi hasara za kua mkimya sana?
Una furahia ukiwa karibu na mtu mkimya sana au unakua bored?