Shammy-
JF-Expert Member
- Dec 2, 2022
- 7,177
- 18,841
Huna akiliFanya ukaombewe tu. Huwa hakuna dawa nyingine ya mapepo wachafu!
Huna akiliFanya ukaombewe tu. Huwa hakuna dawa nyingine ya mapepo wachafu!
Maana yake uhalifu,we ulitaka waachiwe kiasi gani?.. mpaka miji yote iteketee?..wangezidiwa vyombo vya usalama,sasa hivi si ingekua nchi imepinduliwa na jeshi kuchukua nchi?.. wangapi wangekua mfu?.. uharibifu ungekua kiasi gani?Ndiyo maana nasema akili yako ni kiduchu Polisi akifa ndiyo certificate ya kuua maelfu ya raia wasio na silaha?
Huna akiliWe ndo kijambio kabisa, mtu anachoma mali yake unaleta kisirani?
Mali zote ni za watanzania. Wacha wazifanye vile wanataka.
Na hata hivyo vibasi vya mwigiRu navyo ni sawa kuchomwa tu.
Wangemchoma na mwiguRu ingependeza sana.
Wewe ni kilaza WA mwisho TanzaniaNimemsikia Prof Tibaijuka na Kanisa katoliki...yaani safari hii hadi mzee Warioba kakausha?
Kvmanina zako?Mali gani wewe chizi? hizo mali ni za watanganyika na wana haki ya kuzifanya chochote wakitakacho.
Unampangia mtu vile aifanye mali yake? Hata akiichoma moto ni sawa tu.
Kijambo chako hakina tija.Kvmanina zako?
Ninazo.Huna akili
Nani aliwahamasisha polisi kuuwa hadi ambao sio wavuta bangi ambao hawakuwa wakiharibu mali za watu? Kama wavuta bangi tu wasio na silaha wanasababisha polisi kuuwa watu hovyo bila kujali anayehusika na asiyehusika hivi siku tukivamiwa na magaidi hali itakuwaje si raia nyumba zao zitakuwa zinalipuliwa na mabomu?Kilichotokea kinahitaji uthibitisho gani?
Uharibifu wa mali za watu na miundombinu ulifanywa na vijana wavuta bangi hauonekani??
Alaaniwe roma na mange kijambio kwa kuhamasisha hiki kilichotokea
Wameshazaliwa Watanzania wengine. Kufidia lile kundi la Wahalifu.Mali za watu na Miundombinu tunaweza kuzirejesha wakati wowote ule Je maisha ya watu mtayarejesha lini? Toka lini adhabu ya mtu kuandamana ni kumuua?
Wewe tulia—you belong in the gallows!Maana yake uhalifu,we ulitaka waachiwe kiasi gani?.. mpaka miji yote iteketee?..wangezidiwa vyombo vya usalama,sasa hivi si ingekua nchi imepinduliwa na jeshi kuchukua nchi?.. wangapi wangekua mfu?.. uharibifu ungekua kiasi gani?
Hao wazee inaonekana walipigwa mkwara.Nimemsikia Prof Tibaijuka na Kanisa katoliki...yaani safari hii hadi mzee Warioba kakausha?
EMbu zitajwe basi.. huenda hatujawashtua.Labda ni mimi tu. Labda mimi ndo tatizo. Labda nina uwezo mdogo wa kuelewa mambo.
Labda ni hivi au labda ni vile.
Labda nategemea mambo flani flani toka kwa watu ambao sipaswi kutegemea chochote au lolote toka kwao.
Kuna ukimya wa ajabu sana kutoka kwa baadhi ya watu na taasisi ambazo mtu ungedhani ziko mstari wa mbele katika kutetea haki za kibinadamu.
Kwa uwazi tu, sitegemei chochote toka kwa muuaji na kiongozi haramu.
Ataanzia wapi kukemea kilichotokea na kutoa pole kwa wahanga?
Lakini wengine nao je?
Wako wapi wale viongozi wa dini ambao huwa wanakemea utekaji?
Wako wapi wale viongozi wa zamani ambao wamestaafu kukemea kilichotokea?
Watu wamejikausha tu kama vile hakuna chochote kilichotokea!
Kuna mambo mtu mwenye akili timamu hupaswi kuyakalia kimya.
Zaidi ya wiki sasa na watu hawasemi chochote.
Ukimya mbele ya ukiukwaji wa makusudi wa haki za kibinadamu ni usaliti.
Waendelee kupumzika kwa amani wazalendo wote waliopoteza maisha yao na wale walioumizwa.
Kwa nyie wasaliti, kama mnadhani kila kitu ni upepo tu na lililotokea nalo litapita tu kama upepo, subirini muone.
Wewe unaona wengine wanatetea wahalifu ila wao pia wanakuona unatetea mauwaji ya polisi ambayo hayakuwa yanajali anayehusika na asiyehusika.Inashangaza mnatetea wahalifu
Wewe punguani huna moral authority yakulaani mauaji yeyote yale,hua unafurahia mauaji ya wapalestina hapa unakata kiuno mpaka unaangusha shanga zako za kiunoni,Hayo Maduka na miundombinu inaweza kurudishwa na kutengenezwa!! Fikiria maisha ya maelfu ya watu waliouliwa kinyama na polisi uhai wao mtaurudisha?
Vyombo vya habari ni hopeless kabisa. Hadi sasa vimepigwa ganzi.Ni kweli huu ni Usaliti hata vyombo vyetu vya habari wamejifanya hawajui kilichotokea!!!
Hoja yako Ina mantiki endapo, umejipanga kukabiliana ama kuzikwepa consequences za kutokaa kimya dhidi ya uovu ama watenda uovu ambao hawana simile, hawana utu, hawajali haki, and generally they don't care!!!Mbele ya uovu mimi sitokaa kimya.
Samia, Abdul, Kikwete, Rostam, Kizigha, Mombo, Wambura, Mkunda,Johari, Chief of staffs, wametengeneza gangster paradise yao, Mafia state.Hoja yako Ina mantiki endapo, umejipanga kukabiliana ama kuzikwepa consequences za kutokaa kimya dhidi ya uovu ama watenda uovu ambao hawana simile, hawana utu, hawajali haki, and generally they don't care!!!
Yes. Mandela alijipanga dhidi ya consequences. Hakika, Nyani Ngabu naye amejipanga ama kukabili ama kuzikwepa consequences!!!
Hawa wanaolalamikiwa kwa kukaa kimya waombe majibu kama wamejipa ama lah! Kuwalaumu bila kupata majibu ya swali la kujipanga, ni kuwaonea.
Tuna mfano: Ndugu Humphrey, alishajipanga na akasema wazi hajali lolote na akasisitiza litakalo mkuta ana uhakika anakwenda Mbinguni kwenye Moja ya Makala zakeza usemaji !!!
Nadhani, Mkuu utakuwa umeelewa hoja yangu.
Asante.
Mpaka sasa yeye, Prof Tibaijuka na Antony Mtaka ndio top elites waliosema kwa sauti au vitendo kuchukizwa na mauaji haya.Oh, pongezi za kipekee ziende kwa James Mbatia.
Yeye kajitokeza tena mbele ya kamera na kutoa neno.
Ahsante James!