Akilinjema
JF-Expert Member
- Aug 9, 2016
- 11,428
- 11,837
Zamani waathirika walikuwa wakikonda na kupandisha makenchi kiasi kwamba watu walikuwa wakiwaona wanawakwepa ili wasipate maambukizi, lakini siku hizi ni kinyume chake!
Hali inatisha zaidi ya inavyosemwa!
Hali inatisha zaidi ya inavyosemwa!
