UKIMWI unavyotafuna vijana

UKIMWI unavyotafuna vijana

Yaani na uzinzi unavyofanyika hivi,UKIMWI unaua hatari,juzi nimetoka kumzika mjomba,it is so sad.
Kwaiyo wasio na UKIMWI hawatazikwa? Mbona mnatoa maelezo kizwazwa? Toa madhara ya UKIMWI wakati mtu akiwa hai, suala la kufa hata Kisukari, homa ya Ini, Kansa, Ebola, Zika, Malaria, Kipindupindu vitakuua. Wapo walioepuka UKIMWI wakaja kufa na Magonjwa ya Moyo, wengine wamekwepa Ukimwi, figo zikawaua, sasa toa darasa la kueleweka kwa nini tuuogope UKIMWI! Ukisema kifo, hata wasio na ukimwi wanakufa.
 
K
Kwaiyo wasio na UKIMWI hawatazikwa? Mbona mnatoa maelezo kizwazwa? Toa madhara ya UKIMWI wakati mtu akiwa hai, suala la kufa hata Kisukari, homa ya Ini, Kansa, Ebola, Zika, Malaria, Kipindupindu vitakuua. Wapo walioepuka UKIMWI wakaja kufa na Magonjwa ya Moyo, wengine wamekwepa Ukimwi, figo zikawaua, sasa toa darasa la kueleweka kwa nini tuuogope UKIMWI! Ukisema kifo, hata wasio na ukimwi wanakufa.
Kwa maelezo yako ugonjwa wa UKIMWI usichukuliwe tahadhari sindiyo?Hujui yule au mimi nikipata UKIMWI ni rahisi kushambuliwa na magonjwa yote uliyoyataja happy na ikawa rahisi kupoteza maisha kwasababu ya upungufu wa kinga?
Usifanye tukaona hili gonjwa nikawaida wakati siyo zuri hata kidogo
 
Watu wanachukulia HIV kama kitu simple lakini sio. Mimi nilimeza pep pia. Ila kwa kweli nilimeza kwa siku 3 tu nikaacha. Hizo siku tatu niliona kama mwaka. Nilikua silali kwa raha. Mchana kutwa nakua ovyo. Chakula kilikua hakielewiki. Yani ni kama upo kwenye mateso. Toka nipate hiyo experience nimekua na huruma wa tofauti kwa watu walioaathirika.
Kuna kipindi nilishatumia PEP....kweli sio dawa rahisi. Ule mwezi niliuona mrefu Kama mwaka. Tumuombe Mungu sana atukinge na maradhi ya ajabu Kama haya ya HIV kwa sababu hakuna nafuu yoyote hata Kama utatumia hizo dawa.
 
Sawa, ila unaweza kujenga hoja bila kutaja waliotangulia mbele ya haki.

Tuwe na staha hasa kwenye kunyooshea wenzetu vidole wakati nasi tuna makandokando yetu.
Haya Mawazo yako ndio tatizo kubwa Kwa gonjwa hili. Unaficha ili iweje? Si bora kuweka wazi ili kuokoa wengine. Kama muhusika alishindwa kujiheshimu yeye mwenyewe sisi ni nani tumuheshimu?
 
Watu wanachukulia HIV kama kitu simple lakini sio. Mimi nilimeza pep pia. Ila kwa kweli nilimeza kwa siku 3 tu nikaacha. Hizo siku tatu niliona kama mwaka. Nilikua silali kwa raha. Mchana kutwa nakua ovyo. Chakula kilikua hakielewiki. Yani ni kama upo kwenye mateso. Toka nipate hiyo experience nimekua na huruma wa tofauti kwa watu walioaathirika.
pole sana huwa wanasema yatakiwa kumeza mwezi mzima na wewe umemeza kwa siku 3 tu umeshaenda tena kituo cha afya kupima kuona zilisaidia kwa hizo siku 3 ulizotumia?
 
Nilikua Corner Bar wakawa wanamsifia Producer Mkuu wa WCDiii anavyochukua Dada Zetu pale na kULA MBICHi pamoja kunyonya huko Dodoma HQ. Na alivyo boya anawepeleka ghetto kwake hapo hapo Sinza
 
Niliji prick na sindano ya mgonjwa (alikuja kutibiwa kwa sababu nyingine sio HIV). Baadae nilichukua damu ya yule mgonjwa nikaituma ifanyiwe HIV PCR test. Ilikua negative. Hapakua na haja ya kumaliza dozi
pole sana huwa wanasema yatakiwa kumeza mwezi mzima na wewe umemeza kwa siku 3 tu umeshaenda tena kituo cha afya kupima kuona zilisaidia kwa hizo siku 3 ulizotumia?
 
Back
Top Bottom