Tuttyfruity
JF-Expert Member
- Dec 3, 2017
- 2,414
- 6,389
Mzee baba ushawahi meza ARVs? Achana na hiyo kitu unaweza ukaomba ufe tu. ARVs sio dawa simple kama unavofikiria. Nenda kituo cha afya waambie unahisi umepata maambukizi. Iwe withinin 72hrs. Watakuapatia ARVs umeze kama PEP. Alafu uje utupe mrejesho hapa.
Mimi hata siogopi ukimwi, ninacho ogopa ni magonjwa mengine ya zinaa, hata hivyo tayari yanatibika kirahisi, kwahiyo siogopi tena.
Ingekuwa ukimwi unafanya kazi kweli basi hakuna aliye salama.
Isitoshe ARV zipo na zinatolewa bure kabisa, na hakuna cha kuogopa tena.