UKIMWI unavyotafuna vijana

Hakuna MTU aliyenifundisha madhara ya ukimwi kama mama yangu.Huwa haniambii maneno aliyosikia Bali mambo aliyoshuhudia

Walizaliwa 13 ila kati yao 9 wamekufa Kwa ukimwi.Kati ya wanne waliobaki tayari Wawili waathirika hivyo wanaishi Kwa matumaini

Huwa ananiambia ukoo wao unaisha Kwa ukimwi .Watoto wa Dada na kaka zake wanaishi Kwa matumaini.

Moja ya vitu ambavyo anauelewa mkubwa navyo basi namba moja ni ukimwi

Kauguza wote 9 waliofariki na anauguza Wawili sasa.
Nikiwa kitandani na mwanamke huwa nakumbuka maneno ya mama.

Niliwah pata demu mbichi ndio kamaliza form 4 kapo vizuri nikaenda nae kumgonga kavu kavu yani kwa american slang tunasema by the skin of my teeth .Tulipovua nguo nikakumbuka maneno ya mama.Nikamwambiaa vaa nguo tukapime ,akakubali.Tukazama Ukonga hospital ya masista tukakuta yeye muathirika ,ila hakuwahi kujua kuwa muathirika.

Now kila analonifundisha mama yangu nalifanyia kazi.

Asante mama.
Daah aiseeh inatisha!! Mwenyezi Mungu atusaidie kwa kweli
 
Mimi hata siogopi ukimwi, ninacho ogopa ni magonjwa mengine ya zinaa, hata hivyo tayari yanatibika kirahisi, kwahiyo siogopi tena.
Ingekuwa ukimwi unafanya kazi kweli basi hakuna aliye salama.
Isitoshe ARV zipo na zinatolewa bure kabisa, na hakuna cha kuogopa tena.
Usirahisishe mambo mkuu hizo dawa zinaua sana Figo na ini, pia ni mateso kuishi kwa kunywa dawa kila siku
 
Abdallah Kadidi
Rehema Kadidi
Mwantumu Kadidi

Hawa ni ndugu zangu wa kuzaliwa, mmoja kati ya hao niliowataja ni mtoto wa baba mdogo. Wawill wako Tanga mjini, mwingine yuko handeni.
Huyo aliyeko handeni nitajie kwa jina aisee maana na mimi niko handeni mjini
 
Abdallah Kadidi
Rehema Kadidi
Mwantumu Kadidi

Hawa ni ndugu zangu wa kuzaliwa, mmoja kati ya hao niliowataja ni mtoto wa baba mdogo. Wawill wako Tanga mjini, mwingine yuko handeni.
@tindo mi nipo handeni mjini hebu niambie huyo wa handeni ni yupi hapo
 
naomba serikali izuie madawa kugawa bure ila wanunue maana walikuwa hawasiikii wakitangaziwa kuna ukimwi na huko kwenye kuzini walikuwa wakitoa pesa na wapili ni mpokeaji na kwenye dawa waanze kulipa iwe fundisho kwa wengine maana ngono imezidi watu wanajisifia kkwenye miziki mapenzi tuuu na michezo ya kuigiza ni mapenzi tuu hawana jambo lingine
 
naomba serikali izuie madawa kugawa bure ila wanunue maana walikuwa hawasiikii wakitangaziwa kuna ukimwi na huko kwenye kuzini walikuwa wakitoa pesa na wapili ni mpokeaji na kwenye dawa waanze kulipa iwe fundisho kwa wengine maana ngono imezidi watu wanajisifia kkwenye miziki mapenzi tuuu na michezo ya kuigiza ni mapenzi tuu hawana jambo lingine
Watu kama vichaa.....ni ngono tuu....papuchi tamuu
 
Msijifiche kwenye ukimwi tu kuna gonjwa wa ukata wafedha huo ndiyo mbaya kuliko ukimwi,hatupati tiba sahihi kwawakati mwafaka wengi tunachelewa kutokanana ukata wa fedha utakaaje na malaria wiki mbili. Pia usiridhishwe na Tiba ya sinza palestina ujichukurie rufaa dispensary mbezi kwa Msuguli kweli hiyo ni rufaa.
Hospital za serikali ukienda unaumwa kichwa wao ni mabingwa wa kupima malaria mpaka tu mpaka wajue ni dengue umekwisha.Sikubaliani kuwa ukimwi unaua watalamu washa sema ukimwimwi una attack kinga magonjwa nyemelezi ndiyo huua ambayo hutibika na kinga ina kuwa boosted,shida ni ku identify hilo gonjwa nyemelezi on time.

sasa we huoni hio nayo ni shida kuzunguka kila siku mahospitali kujitibu? ee mungu tuepushe na magonjwa mazito...Amiin
 
Nini kifanyike? Kwa sasa naona kama kuna kampeni za kufanya watu waanze kuzoea tatizo la ugonjwa wa UKIMWI kwa kuwa MTU yoyote unaweza kupatwa na maambukizi kwa njia moja au nyingine.Hakuna aliyesalama kama katika ugonjwa kwa asilimia 100% sio UKIMWI,Ebola,Rift Valley Fever au Mafua ya Ndege na Nguruwe.Tujitahidi tu kadri tuwezavyo kuwa wasafi na waaminifu.
 
Na kweli hata zile kampeni zilizokuwa ninaendeshwa na TACAIDS naona zimepungua sana
Limeshakuwa gonjwa la kawaida tu sasa. Hivyo ndivyo jamii inavyofikiria, which is wrong. Hata kampeni elimisha zimefifia sana.
Umechukuliwa kama ugonjwa tu Wa kawaida kabisa
 
Back
Top Bottom