UKIMWI unavyotafuna vijana

UKIMWI unavyotafuna vijana

Mimi hata siogopi ukimwi, ninacho ogopa ni magonjwa mengine ya zinaa, hata hivyo tayari yanatibika kirahisi, kwahiyo siogopi tena.
Ingekuwa ukimwi unafanya kazi kweli basi hakuna aliye salama.
Isitoshe ARV zipo na zinatolewa bure kabisa, na hakuna cha kuogopa tena.

Kumbuka ARV zinatolewa kwa hisani ya watu wa Marekani ambao siku hizi tunawaita mabeberu.
 
Miaka kumi ijaoyo watu maarufu na vijana wanaoonekna nyota wengi watakuwa wanaishi kwa matumaini
Nijambo ambalo sio siri na nina dhani Serikali pitia idara nyeti ya taifa kiusalama ni muda mwafaka wakaliangalia hili kwa macho sita watu wanakufa na ukweli hausemwi ila walio na macho ya mbali watakubaliana nami 99% ya vijana na watu maarufu nyuma yake kuna siri ya hiki kirusi ila hakuna anayesema tunaishia sema malaria na UTI kali.

Tunasahau kuwa kushuka kinga ya mwili huleta hayo magonjwa kwa kiwango kisichodhibitika.


Nani aliokoe taifa nani asimame kuwaambia vijana na watanzania Ukimwi unatumalisza silence na kesho yetu ni ya mashaka.
Mtoa mada naomba nikuulize, na unijibu, toka huo ukimwi wako umegunduliwa na unasema ni hatari sana je kiwango cha watu kimeongezeka au kimepungua? Tuanzie hapo kwanza
 
Miaka kumi ijaoyo watu maarufu na vijana wanaoonekna nyota wengi watakuwa wanaishi kwa matumaini
Nijambo ambalo sio siri na nina dhani Serikali pitia idara nyeti ya taifa kiusalama ni muda mwafaka wakaliangalia hili kwa macho sita watu wanakufa na ukweli hausemwi ila walio na macho ya mbali watakubaliana nami 99% ya vijana na watu maarufu nyuma yake kuna siri ya hiki kirusi ila hakuna anayesema tunaishia sema malaria na UTI kali.

Tunasahau kuwa kushuka kinga ya mwili huleta hayo magonjwa kwa kiwango kisichodhibitika.

Nani aliokoe taifa nani asimame kuwaambia vijana na watanzania Ukimwi unatumalisza silence na kesho yetu ni ya mashaka.
Kila mmoja akae na familia yake aielekeze UKALI wa Mungu kwenye maasi.

Aielekeze jinsi ya kuijikinga na matumizi ya vitu vyenye ncha kali kwa kuchangia.

Lakini sana sana kuwafundisha watu kumuogopa Mungu katika kufanya ZINAA.
 
FB_IMG_1527788843992.jpg
 
Kwani amri ya usiue ina maneno mangapi ..


By the way ukimwi hauuwi kinachoua Ni magonjwa nyemelezi.
Uzi ungekuwa unahusu kuua na wenyewe ningeandika hivyo hivyo Mkuu

Hayo nyemelezi yamewezeshwa kuua na huo ukimwi usingekuwa nao usingekufa
 
We mpumbavu sn, kulikuwa na haja gani kumtaja kibonde? Hufikirii anaweza kuwa na Ndugu na jamaa humu? Wajisikiaje unapomtaja kwenye mada km hii? Kuwa na heshima assume km angekuwa mpendwa wako halafu unakutana na comment km hii? Senziiiiiii
Kwanini mtu akifa kwa ukimwi kutajwa sababu ya kifo chake inakuwa shida wakati magonjwa mengine yanatajwa kama maralia, kansa, tezi nk ukimwi una shida gani?
 
We mpumbavu sn, kulikuwa na haja gani kumtaja kibonde? Hufikirii anaweza kuwa na Ndugu na jamaa humu? Wajisikiaje unapomtaja kwenye mada km hii? Kuwa na heshima assume km angekuwa mpendwa wako halafu unakutana na comment km hii? Senziiiiiii
Wapumbavu ni moderators ambao comments kama hizi wanaziacha tu. Wakati ilibidi awe kashakula BAN...
 
sawa tunaomba list ya nduguzo, jamaa na marafiki wenye ngwengwe uiweke wazi kutusaidia na kuwasaidia walio maeneo ya jirani nao kuepuka hili.

Abdallah Kadidi
Rehema Kadidi
Mwantumu Kadidi

Hawa ni ndugu zangu wa kuzaliwa, mmoja kati ya hao niliowataja ni mtoto wa baba mdogo. Wawill wako Tanga mjini, mwingine yuko handeni.
 
Kwanini mtu akifa kwa ukimwi kutajwa sababu ya kifo chake inakuwa shida wakati magonjwa mengine yanatajwa kama maralia, kansa, tezi nk ukimwi una shida gani?
Pumbavu taja ndugu zako kwanza..
 
Kwanini mtu akifa kwa ukimwi kutajwa sababu ya kifo chake inakuwa shida wakati magonjwa mengine yanatajwa kama maralia, kansa, tezi nk ukimwi una shida gani?
Tangu lini ukaua ?? Ukimwi hauui ndio maana huwezi kukuta wanatangaza mtu kafa kwa ukimwi .. Kinachoua Ni magonjwa nyemelezi Tena umeyataja hapo..
 
Grid ya taifa kutokana na kidonge kwa sasa aitishi sana zamani ikikupiga unaonekana kama msomali
 
Back
Top Bottom