MAGO
JF-Expert Member
- Mar 8, 2011
- 2,278
- 3,025
Ukiwa na upungufu was kinga kinachoua ni magonjwa mengineyo ambayo inakuwa rahisi kukupata kama.
Pneumonia
TB
Malaria
Cancer n.k.
Kinga ya mwili kupungua huweza sababishwa na mambo mengi ikiwemo vidudu vya virus & msosi fifu.
Kinga ya mwili kwa MTU yoyote huweza pandishwa kwa kuzingatia mfumo mzuri wa chakula bora, mazoezi ya mara kwa mara.
Kama upungufu ni kwa sababu ya virusi vinavyoshambulia kinga ya mwili hivi huweza thibitiwa kwa kutumia Antivirus drugs, vyakula na mazoezi hivyo kuzuia magonjwa ya mara kwa mara yanayoweza leta kifo.
Dawa ya kuua virus hivi zipo vikiwa nje ya cell za binadamu ila vinapokuwa ndani ya cell haiwezekani kwani vinakuwa integrated ndani ya nucleus kuwa accessed ni ngumu.
Kwa sasa tayari kuna majaribio katika hatua ya mwisho ambako virus hivi hutolewa ndani ya nucleus kabla ya kushambuliwa na antivirus drugs kwa 95%. Hii ni njia pekee iliyoonekana kuwa na mafanikio.
Inahofiwa kitakachozuia mafanikio ya tiba hii ni USA kwani hunufaika zaidi katika janga hili.
UKIMWI upo hivyo muhimu ni kuchukua tahadhari.
Pneumonia
TB
Malaria
Cancer n.k.
Kinga ya mwili kupungua huweza sababishwa na mambo mengi ikiwemo vidudu vya virus & msosi fifu.
Kinga ya mwili kwa MTU yoyote huweza pandishwa kwa kuzingatia mfumo mzuri wa chakula bora, mazoezi ya mara kwa mara.
Kama upungufu ni kwa sababu ya virusi vinavyoshambulia kinga ya mwili hivi huweza thibitiwa kwa kutumia Antivirus drugs, vyakula na mazoezi hivyo kuzuia magonjwa ya mara kwa mara yanayoweza leta kifo.
Dawa ya kuua virus hivi zipo vikiwa nje ya cell za binadamu ila vinapokuwa ndani ya cell haiwezekani kwani vinakuwa integrated ndani ya nucleus kuwa accessed ni ngumu.
Kwa sasa tayari kuna majaribio katika hatua ya mwisho ambako virus hivi hutolewa ndani ya nucleus kabla ya kushambuliwa na antivirus drugs kwa 95%. Hii ni njia pekee iliyoonekana kuwa na mafanikio.
Inahofiwa kitakachozuia mafanikio ya tiba hii ni USA kwani hunufaika zaidi katika janga hili.
UKIMWI upo hivyo muhimu ni kuchukua tahadhari.
