lamaa
JF-Expert Member
- Nov 2, 2018
- 1,014
- 2,695
Sikuambiwa nimenasa elewa vipimo ni vile vya kisasa hospital hawapim mala moja nilikitumia cha kwanza kikapishana na cha pili jamaa akasema sometym vinazinguaHuoni kuna utata katika kitu kinaitwa UKIMWI?Kama mara ya kwanza walisema umenasa na wakati huohuo mpenzi wako yuko safi lkn Baada ya muda nawe ukaambiwa safi?Unaweza enda pima tena ukaambiwa umenasa.
Akachukua dam mkonon zen akasema nilud after 3 month ....
Duuu sikulud mpka 6 month nilipopima sehem zingine nikawa fit ndio nikalud now Niko fresh
Usipopima stress zinakuandama
