UKIMWI unavyotafuna vijana

UKIMWI unavyotafuna vijana

hahahaaaa ilo tatizo linawakumba wengi mi niliwai kupima 2014 nikakimbia majibu sasa nasubili mpaka dawa ipatikane ndo nikapime. Kwanza sina history ya kuugua hovyo hovyo kwaiyo Niko safi
Hivi mfano itokee tu umeugua Typhoid ukaenda Hospitali,wakachukua damu ikapimwa,halafu majibu yakaja ukaambiwa,huna Typhoid na walipima na HIV,na majibu ya HIV yakaonesha uko Negative,utamshitaki huyo nesi au utamshukuru kwa maana kwa hiyari yako ulishindwa kupima...?
 
Hivi mfano itokee tu umeugua Typhoid ukaenda Hospitali,wakachukua damu ikapimwa,halafu majibu yakaja ukaambiwa,huna Typhoid na walipima na HIV,na majibu ya HIV yakaonesha uko Negative,utamshitaki huyo nesi au utamshukuru kwa maana kwa hiyari yako ulishindwa kupima...?
Nitakasirika sana ikiwezekana nitaenda kuwashitaki maana wanakale ka rugha kao eti baada ya miezi 3, uje upime tena. Sasa icho kitu ndio sikitaki kabisa kukisikia. Wife wangu akiwa mjamzito uwa ananiambia kakutwa yuko safi kwaiyo namie najua Niko safi. Nitaenda kipima kwa hiari yangu siku dawa ikipatikana ila iyo ya kufubaisha wanywe wenyewe
 
Nitakasirika sana ikiwezekana nitaenda kuwashitaki maana wanakale ka rugha kao eti baada ya miezi 3, uje upime tena. Sasa icho kitu ndio sikitaki kabisa kukisikia. Wife wangu akiwa mjamzito uwa ananiambia kakutwa yuko safi kwaiyo namie najua Niko safi. Nitaenda kipima kwa hiari yangu siku dawa ikipatikana ila iyo ya kufubaisha wanywe wenyewe
Pole sana na mateso unayopitia. Hebu fikiri ni vipi utaishi bila kujua hatma ya maisha yako hadi lini? Jilipue tu mkuu kuna faida nyingi zaidi ya kujua hatma ya maisha yako kuliko hasara.
 
Ukweli ukimwi upo na unaua na watu wanatumia Dawa kwa kasi ya 5G,Mm nipo Mbeya tumezungukwa na Mabaar na Guest ukiwa maeneo hayo angalia kwenye Madampo au seheza taka au penye uficho ni Makopo kama yote ya Dozi,

Utafiti wangu Nimetongoza wanawake wengi na kujidai nawapenda mnoo na nipo Tayari kwa Lolote ,Sasa nikiweka point ya Tupime Afya utakachojibiwa ni siri yangu Nina SMS zangu zenye majibu ya Maana ,nikiweka hapa utapenda mwenyewe ,kila kitu kinaishia hapo.

Fanyeni Utafiti hata kwenye Familia zetu Hali siyo nzuri kwa kweli.

Mbaya kuliko watu wanarahisisha mnoo
 
nilikua mgumu wa kutumia kinga ila sasa hivi aisee, nmeanza kutumia kwa kuogopa magonjwa sitaki mipango yangu ikwame kisa kudhoofika na maradhi labda uzee panapo majaliwa
Maamuzi yakutumia kinga yalitakiwa yatanguliwe kwanza na vipimo,unauhakika gani na usalama wako kwa ngono zako za awali zisizo Salama?
 
Pole sana na mateso unayopitia. Hebu fikiri ni vipi utaishi bila kujua hatma ya maisha yako hadi lini? Jilipue tu mkuu kuna faida nyingi zaidi ya kujua hatma ya maisha yako kuliko hasara.
....hatima ya maisha ya mtu anayajua muumba wake sio vipimo vya dactar....kwanini upime uanze kuishi kwa mawazo dawa zenyewe za kukutibu hazipo... Unapima ili iweje sasa dactar mwenyewe anaumwa iyo ngoma ije mtu nisiejua ata namna ya kuvaa condom.....broo kufa kufaana wengine watakufa kwa ngoma wengine kwa bodaboda wengine kwa roli la mafuta nk....kila mtu na safari yake wee ukiona toto zuri linatikisa wezele ukaogopa wengine twala!!
 
Ukweli ukimwi upo na unaua na watu wanatumia Dawa kwa kasi ya 5G,Mm nipo Mbeya tumezungukwa na Mabaar na Guest ukiwa maeneo hayo angalia kwenye Madampo au seheza taka au penye uficho ni Makopo kama yote ya Dozi,

Utafiti wangu Nimetongoza wanawake wengi na kujidai nawapenda mnoo na nipo Tayari kwa Lolote ,Sasa nikiweka point ya Tupime Afya utakachojibiwa ni siri yangu Nina SMS zangu zenye majibu ya Maana ,nikiweka hapa utapenda mwenyewe ,kila kitu kinaishia hapo.

Fanyeni Utafiti hata kwenye Familia zetu Hali siyo nzuri kwa kweli.

Mbaya kuliko watu wanarahisisha mnoo

Mada kama hizi huwa zinawarudisha sana nyuma "Mabaharia" wangu. Mmesababisha wauchukie kabisa huu uzi! Hawachangii chochote, zaidi tu wanapita 🚶🚶🚶🚶🚶kimya kimya.
 
Hivi ukisex na mtu mwenye upungufu wa kinga mwilini huchukua mda gani mpaka kujigundua kama na wewe umepata upungufu wa kinga mwilini?
 
Back
Top Bottom