Ukikusanya nchi nane (8) za Afrika Mashariki hazifikii GDP ya nchi ndogo kabisa ka Singapore

Ukikusanya nchi nane (8) za Afrika Mashariki hazifikii GDP ya nchi ndogo kabisa ka Singapore

Mi mi

JF-Expert Member
Joined
Jul 14, 2024
Posts
5,752
Reaction score
10,523
Ukikusanya haya majinga manane(8) ya Afrika Mashariki
●Tanzania
●Kenya
●Uganda
●Rwanda
●Burundi
●Somalia
●D.R.C
●South Sudan

Yote kwa pamoja hayafikii GDP ya kanchi kadogo kabisa ka Singapore.

Mind you Singapore ina jumla ya ukubwa wa 735km² na population isiyozidi 6Mln wakati haya majinga manane yana ukubwa wa 5Mkm² na population ya zaidi ya watu 300M.

Hakuna kitu Singapore anacho haya majinga manane hayana kuanzia rasilimali na kila kitu tena yameizidi kiinchi kidogo cha Singapore kwa utitiri wa rasilimali lakini yamebaki kuwa majinga ya mwisho.

Mind you Singapore ina GDP nominal ya 500+Bln lakini haya majinga manane yamekumbatia umasikini pamoja na utitiri wa rasilimali walizonazo.

Angalia upuuzi wao yote kwa pamoja yana GDP nominal isiyozidi 300Bln kwa hesabu ya haraka haraka yanaweza ingia mara mbili kwa kijinchi kama Singapore ambako ukubwa wake unafukuziana na ukubwa wa Kigamboni.

Yaani Singapore ina ingia mara 7,400 kwa EAC lakini ina uchumi mkubwa karibu mara mbili ya uchumi wa jumuiya nzima na hapo Singapore haina rasilimali zozote za maana hata kuwasogelea hawa wajinga wanane.

Umasikini wa Afrika ni kutokana na ukosefu wa akili sawa hakuna kingine zaidi ya hicho maana hakuna kitu ambacho hatuna wengine wanacho tofauti na akili sawa.
 
Hii ni zaidi ya dharau

Wehu wanane
EAC_Map_8_Partner_States.png

Vs. Kijiinchi ka Singapore
World-Data-Locator-Map-Singapore.jpg
 
Ukikusanya haya majinga manane(8) ya Afrika Mashariki
●Tanzania
●Kenya
●Uganda
●Rwanda
●Burundi
●Somalia
●D.R.C
●South Sudan

Yote kwa pamoja hayafikii GDP ya kanchi kadogo kabisa ka Singapore.

Mind you Singapore ina jumla ya ukubwa wa 735km² na population isiyozidi 6Mln wakati haya majinga manane yana ukubwa wa 5Mkm² na population ya zaidi ya watu 300M.

Hakuna kitu Singapore anacho haya majinga manane hayana kuanzia rasilimali na kila kitu tena yameizidi kiinchi kidogo cha Singapore kwa utitiri wa rasilimali lakini yamebaki kuwa majinga ya mwisho.

Mind you Singapore ina GDP nominal ya 500+Bln lakini haya majinga manane yamekumbatia umasikini pamoja na utitiri wa rasilimali walizonazo.

Angalia upuuzi wao yote kwa pamoja yana GDP nominal isiyozidi 300Bln kwa hesabu ya haraka haraka yanaweza ingia mara mbili kwa kijinchi kama kama Singapore ambako ukubwa wake unafukuziana na ukubwa wa Kigamboni.

Yaani Singapore ina ingia mara 7,400 kwa EAC lakini ina uchumi mkubwa karibu mara mbili ya uchumi wa jumuiya nzima na hapo Singapore haina rasilimali zozote za hata kuwasogelea hawa wajinga wanane.

Umasikini wa Afrika ni kutokana na ukosefu wa akili sawa hakuna kingine zaidi ya hicho maana hakuna kitu ambacho hatuna wengine wanacho tofauti na akili sawa.
Hii ngoma umeipiga kwa nguvu nusura isambaratike, tulia man, punguza hasira, tutafute furaha kwanza, hizo gdp siyo issue sana.
 
Umesahau Kitu kimoja muhimu: Tanzania tumewazidi Singapore mbali mno katika sekta ya kuzalisha "Machawa waliotukuka". Machawa wanapewa dhamana ya kuwaongoza WaTZ bila ya kuzingatia weledi wao, ujuzi wao, umahiri wao, n.k. ilimradi tu umefuzu viwango Vya kuitwa Chawa mtiifu kwa Vigogo. Kwa hilo Tu, tumewapiga gepu parefu Wasingapoo.

Mimi nasema mitano tena ✊ kwa Serikali ya awamu ya sita ili Machawa wazidi kuzalishwa kwa wingi zaidi.
 
Ukikusanya haya majinga manane(8) ya Afrika Mashariki
●Tanzania
●Kenya
●Uganda
●Rwanda
●Burundi
●Somalia
●D.R.C
●South Sudan

Yote kwa pamoja hayafikii GDP ya kanchi kadogo kabisa ka Singapore.

Mind you Singapore ina jumla ya ukubwa wa 735km² na population isiyozidi 6Mln wakati haya majinga manane yana ukubwa wa 5Mkm² na population ya zaidi ya watu 300M.

Hakuna kitu Singapore anacho haya majinga manane hayana kuanzia rasilimali na kila kitu tena yameizidi kiinchi kidogo cha Singapore kwa utitiri wa rasilimali lakini yamebaki kuwa majinga ya mwisho.

Mind you Singapore ina GDP nominal ya 500+Bln lakini haya majinga manane yamekumbatia umasikini pamoja na utitiri wa rasilimali walizonazo.

Angalia upuuzi wao yote kwa pamoja yana GDP nominal isiyozidi 300Bln kwa hesabu ya haraka haraka yanaweza ingia mara mbili kwa kijinchi kama kama Singapore ambako ukubwa wake unafukuziana na ukubwa wa Kigamboni.

Yaani Singapore ina ingia mara 7,400 kwa EAC lakini ina uchumi mkubwa karibu mara mbili ya uchumi wa jumuiya nzima na hapo Singapore haina rasilimali zozote za maana hata kuwasogelea hawa wajinga wanane.

Umasikini wa Afrika ni kutokana na ukosefu wa akili sawa hakuna kingine zaidi ya hicho maana hakuna kitu ambacho hatuna wengine wanacho tofauti na akili sawa.
Kama akili zetu ni za kusingiziana kesi na kulimbikiza mali za umma na kung'ang'ania madaraka kweli tutawezana na hao
 
Back
Top Bottom