Muimba SINGELI
JF-Expert Member
- Dec 25, 2024
- 4,211
- 10,840
😂😂😂unasema kweli kaka 😅😅
Cc: Wimbo mpya wa chibu.
😂😂😂unasema kweli kaka 😅😅
Ama kweli mchawi ndugu hahaaaNgoja tufukue makaburi...
Verified na anayedislike post za mrembo...
Woiiii kitu kimesimamaSasa Nusratt usomi na ugwadu wapi na wapi?Anyway huyo mwamba atoe hela aache ubahiri tumbua atalipata tu😄
View attachment 3421799
Unatumia indirect tactics kutafuta wanaume verified, kwasabb kuu 2 , kwanza uhakika wa usalama wako pindi mtakapokutana, pili unahisi verified wana mkwanja mrefu, mods ebu mtoeni huyu anashughulisha watu. Aende sinza.Naona hii tabia imeota mizizi sasa.
Si kila mwanamke yuko humu JF kutaka mapenzi.
Usidanganyike na Profile pic yangu.
Ukikataliwa kausha na sio kutwa kucha ku-dislike comments au nyuzi zangu.
Nadhani ushajijua.
Hata uki-dislike hunizidishii wala kunipunguzia uhai.
Nakutoa kwenye ignore list ili uione hii post.
Najua na post hii utakuja ku-dislike.
Uki-dislike, nakusanua ili wanaokuona wa maana wakushushe thamani.
Halafu unajiita msomi na bage yako ya verified hiyo!
AhahhahaYo yo😅
Hiyo mitego ya humu naijua vzr tuSasa si unalalamika hujawahi kubahatika? 😹😹
HahahahaUnatumia indirect tactics kutafuta wanaume verified, kwasabb kuu 2 , kwanza uhakika wa usalama wako pindi mtakapokutana, pili unahisi verified wana mkwanja mrefu, mods ebu mtoeni huyu anashughulisha watu. Aende sinza.
He He He Teh TehNaona hii tabia imeota mizizi sasa.
Si kila mwanamke yuko humu JF kutaka mapenzi.
Usidanganyike na Profile pic yangu.
Ukikataliwa kausha na sio kutwa kucha ku-dislike comments au nyuzi zangu.
Nadhani ushajijua.
Hata uki-dislike hunizidishii wala kunipunguzia uhai.
Nakutoa kwenye ignore list ili uione hii post.
Najua na post hii utakuja ku-dislike.
Uki-dislike, nakusanua ili wanaokuona wa maana wakushushe thamani.
Halafu unajiita msomi na bage yako ya verified hiyo!
Kama ni wewe nitaungana na mleta mada maana kichwa yako naijua 😂Acha tuu kaka🤣🤣🤣
😃😃😃Kaka sijafikia huko bado🤣Kama ni wewe nitaungana na mleta mada maana kichwa yako naijua 😂
Muhuni ameuzimia huo Mku!!ndu wako hapo kwenye avatar anataka aukamatie kunako 7 kwa 7Halafu unajiita msomi na bage yako ya verified hiyo!
Haya kazi njema 😂😃😃😃Kaka sijafikia huko bado🤣
mimi mwanamke akinikataa,humshukuru na kamwe simchukii na nitaendelea kuwa rafiki,muda utapita ntajaribu tena,na pia vi ofa vidogo vidogo nitakuwa nampaNaona hii tabia imeota mizizi sasa.
Si kila mwanamke yuko humu JF kutaka mapenzi.
Usidanganyike na Profile pic yangu.
Ukikataliwa kausha na sio kutwa kucha ku-dislike comments au nyuzi zangu.
Nadhani ushajijua.
Hata uki-dislike hunizidishii wala kunipunguzia uhai.
Nakutoa kwenye ignore list ili uione hii post.
Najua na post hii utakuja ku-dislike.
Uki-dislike, nakusanua ili wanaokuona wa maana wakushushe thamani.
Halafu unajiita msomi na bage yako ya verified hiyo!